• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila "Vimba na IST Februari 14,2026"

Posted on: January 20th, 2026

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewatangazia wakazi wa Mkoa huo hususani vijana kushiriki Tamasha la IST Festival linalotarajia kufanyika februari 14 mwaka huu kwenye viwanja vya Coco beach ikiwa ni katika kuunganisha wananchi na kuimarisha umoja,upendo na mshikamano baina ya yao.

Akizungumza katika viwanja vya Coco beach na waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amesema anatambua kuwa hivi karibuni wananchi wametoka kwenye uchaguzi na wameingia mwaka mpya 2026 hivyo kupitia tamasha hilo itasaidia kuwaunganisha wananchi kuwa pamoja, kusherekea, pia kupeana  fursa mbalimbali pamoja na zawadi ikiwemo magari aina ya IST kwa watakaoshiriki vyema.

Aidha RC Chalamila amesema kupitia Tamasha hilo wananchi watapata fursa ya kupima na kujua afya zao hususani kwenye changamoto za maradhi ya moyo ambapo Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete inatarajia kushiriki kwa kutoa huduma za upimaji afya.

Kwa upande wa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Nurdeen Bilali Jina maarufu kama Sheta amesema katika tukio hilo pia kutakua nyama choma ambayo watu watakula bila malipo hivyo wananchi wakazi wa jiji la Dar es Salaam wajitokeze kwa wingi.

Ifahamike kuwa Kaulimbiu ya IST festival kwa mwaka 2026 inasema "Vimba na gari yako"

Matangazo

  • NISHATI SAFI MASHINANI MKOA WA DAR ES SALAAM JANUARI 2026 February 03, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Uzinduzi wa Soko Jipya la Kariakoo

    February 08, 2026
  • RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

    February 06, 2026
  • Rais Samia Kuzindua Soko la Kariakoo Februari 08,2026

    February 06, 2026
  • RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

    February 02, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa