• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi Kuzindua Jengo la Wageni Mashuhuri JNIA Januari 16,2026

Posted on: January 15th, 2026

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi anatarajia kuzindua rasmi jengo la wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julias Nyerere jijini Dar es salaam Januari 16, 2026

Akizungumza Jijini Dar es salaam kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila  mbele ya waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakar Kunenge amesema jengo hilo lililojengwa kwa fedha za Serikali katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Julius Nyerere Terminal 1 limekamilika kwa asilimia miamoja na kwamba sasa lipo tayari kuzinduliwa rasmi hapo kesho

RC Kunenge amesema jengo hilo litakua kwa ajili ya viongozi wa kitaifa,wakuu wa nchi mbalimbali wanaotembelea nchini Tanzania pamoja na wageni mashuhuri hivyo amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya uzinduzi huo ambao utahudhuriwa ni viongozi mbalimbali.

Aidha Kunenge amesema uwanja huo ni moja ya vichocheo vya ukuaji wa uchumi kwa nchi ya Tanzania na kwamba wakati wa ujenzi wa jengo hilo maalumu vijana wengi hapa nchini walipata ajira hata hivyo kwa kuwa limejengwa katika Mkoa wa Dar es Salaam, jengo hilo litaongeza kasi ya ukuaji wa uchumi katika Mkoa na Taifa kwa Ujumla


Matangazo

  • NISHATI SAFI MASHINANI MKOA WA DAR ES SALAAM JANUARI 2026 February 03, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

    February 02, 2026
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa DSM Ndg Abdul Mhinte Aongoza Kikao cha Robo Mwaka

    January 30, 2026
  • RC Chalamila Akabidhi Hundi Bilioni 7.5 Temeke

    January 27, 2026
  • RC Chalamila Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Kusherekea Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt Samia

    January 27, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa