• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

Posted on: February 2nd, 2026

 

-Asema Mkutano huo unatarajiwa kufanyika Februari 3,2026 katika Mkoa wa Dar es Salaam

Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa zana endelevu za kilimo Afrika yaani "Africa Sustainable Agricultural Mechanization" utakaofanyika jijini Dar es salaam kuanzia februari 3 hadi 6, 2026 utakaokwenda sambamba na uzinduzi wa mkakati wa Taifa wa zana za kilimo, awamu ya pili ambapo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba anatarajia kuwa mgeni rasmi

Akizungumzia mkutano huo mbele ya waandishi wa jijini Dar es salaam RC Chalamila amesema mkutamo huo unafanyika kwa ushirikiano wa Wizara ya kilimo nchini Tanzania na shirika la chakula na kilimo la umoja wa mataifa FAO ambao utatoa fursa ya kubadilishana uzoefu, kuimarisha ushirikiano na kuharakisha juhudi za matumizi ya zana za kilimo kwa ajili ya mageuzi endelevu ya kilimo nchini na Afrika kwa ujumla

Aidha RC Chalamila ameongeza kuwa kupitia mkutano huo Waziri mkuu Dkt Mwigulu Nchemba anatarajia kuzindua mkakati wa Taifa wa zana za kilimo awamu ya pili ambao utakuwa ndiyo muongozo mkuu wa kuongeza tija nchini kupitia tekinolojia za kisasa za kilimo, mkutano ambao utahudhuriwa na Mawaziri wa kilimo kutoka nchi mbalimbali za Afrika na wadau wa kilimo ikiwa ni miongoni mwa juhudi za Rais Dkt Samia kuimarisha kilimo kwa masilahi mapana ya Umma.

Kwa upande wa Mwakilishi mkazi wa shirika la kimataifa la chakula na kilimo FAO Charles Tulai amesema mkutano huo ni muhimu ili kuwezesha nchi za Afrika kukabiliana na changamoto mbalimbali ikiwemo mabadiliko ya tabia ya nchi na ongezeko la watu ambapo Tanzania imetajwa kuwa ni sehemu bora ya kufanyia mkutano huo huku vijana wakitajwa kama nguvu kazi muhimu kwenye kilimo

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 05-09 JANUARI,2026 DAR ES SALAAM. January 13, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

    February 02, 2026
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa DSM Ndg Abdul Mhinte Aongoza Kikao cha Robo Mwaka

    January 30, 2026
  • RC Chalamila Akabidhi Hundi Bilioni 7.5 Temeke

    January 27, 2026
  • RC Chalamila Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Kusherekea Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt Samia

    January 27, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa