• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Kusherekea Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt Samia

Posted on: January 27th, 2026

 

-Atoa pesa tasilimu kwa ajili ya michezo na ahadi ya milioni 5 kwa shule ya msingi Goroka "A"

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Albert Chalamila mapema leo Januari 27, 2027 ameongoza zoezi la upandaji miti na kukata Keki akiwa na uongozi wa Wilaya ya Temeke,  pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Goroka 'A' iliyopo Kata ya Toangoma ikiwa ni Ishara ya Kusherehekea Siku ya Kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Daktari Samia Suluhu Hassan, tukio linalobeba ujumbe wa "Mazingira ni Utu na Maendeleo Endelevu".

RC Chalamila mara baada ya kukamilisha zoezi la Upandaji miti lililofanyika shuleni hapo ametoa zawadi mbalimbali kwa wanafunzi na walimu pia ameahidi kutoa Shilingi Milioni Tano kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Goroka "A"  ili kusaidia  Utengenazaji wa Viti vya kukalia Walimu wa Shule hiyo.

"Mmefanya kazi kubwa sana kwa maendeleo yetu, Wiki ijayo nakuingizia milioni tano ya kutengeneza Viti vya kukalia Walimu", alisema RC Chalamila .

Vilevile Mkuu wa Mkoa amewashukuru Watumishi na  Viongozi mbalimbali wa Manispaa ya Temeke kwa kazi kubwa wanayofanya ya kuleta Maendeleo  kwenye Sekta mbalimbali katika wilaya hii.

Aidha RC Chalamila amekabidhi Shilingi laki tano kwa Shule hiyo ili kusaidia kuandaa Bonaza la michezo kwa wanafunzi wa shule hiyo.

Mwisho RC Chalamila amesistiza dhamira ya Serikali ya awamu ya Sita Chini ya Daktari Samia Suluhu Hassani ni kukuza utalii katika kulinda mazingira na ukuzaji uchumi huku ikiweka msingi imara na urithi kwa vizazi vijavyo

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 05-09 JANUARI,2026 DAR ES SALAAM. January 13, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Kusherekea Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt Samia

    January 27, 2026
  • RC Chalamila "Vimba na IST Februari 14,2026"

    January 20, 2026
  • Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi Kuzindua Jengo la Wageni Mashuhuri JNIA Januari 16,2026

    January 15, 2026
  • RC Chalamila Afika 'Site' Block D, Kunduchi Kutatua Mgogoro wa Nyumba ya Mama Mjane

    January 07, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa