• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalimila Aendelea Kuchanja Mbuga Wilaya ya Kinondoni

Posted on: February 12th, 2026

 

-Akagua utoaji huduma ya afya katika Hospitali ya Shifaa(Pan Afrikan Hospital Limited) Hospitali binafsi.

-Atinga Tandale akagua ujenzi wa shule ya ghorofa ya Sekondari Tarimba Abbas

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameendelea na ziara yake katika wilaya ya Kinondoni leo februari 12, 2026 ambapo amekagua kazi nzuri inayofanywa na sekta binafsi katika utoaji wa huduma ya afya hususani Hospital ya Shifaa iliyoko Hananasifu Kinondoni, ameridhishwa na uwekezaji uliofanyika katika hospitali hiyo na kumuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni kutenga maeneo yauwekezaji na kuwakaribisha watu binafsi kuwekeza kwa masilahi mapana ya Wilaya, Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Aidha RC Chalamila amekagua mradi wa elimu shule ya ghorofa ya Sekondari Tarimba Abbas yenye vyumba vya madarsa 21, Maktaba 1, vumba 3 vya maabara, Jengo la utawala, computer lab, na matundu 44 ya vyoo ambapo ameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo, huku akisisitiza maendeleo hayana chama hivyo amemshukuru Mhe Rais Dkt.Samia Suluhu Hassani kwa uwekezaji mkubwa katika sekta mbalimbali hapa nchini hususani sekta ya elimu.

Ifahamike kuwa Mhe Mkuu wa Mkoa yuko katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo kwa siku 3 katika Wilaya ya Kinondoni ambapo kesho tarehe 13, februari 2026 atasikiliza kero za wananchi katika eneo la Nyakasangwe na kuzipatia majawabu papo hapo hivyo usipange kukosa

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI YA 02-06 FEBRUARI 2026 DSM February 10, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • MWENENDO WA BEI YA WIKI YA 26-30 JANUARI 2026 DSM February 09, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalimila Aendelea Kuchanja Mbuga Wilaya ya Kinondoni

    February 12, 2026
  • RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

    February 11, 2026
  • Uzinduzi wa Soko Jipya la Kariakoo

    February 08, 2026
  • RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

    February 06, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa