• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Naibu Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Mhe Kwagilwa Ahitimisha Ziara ya Kikazi Dar

Posted on: January 3rd, 2026

 

-Afanya ukaguzi wa miradi Wilaya ya Kigamboni.

-Atoa maelekezo mahususi kwa niaba ya Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Prof Shemdoe.

Naibu Waziri wa Nchi OWM TAMISEMI Mhe Reuben Kwagilwa amehitimisha ziara ya kikazi Mkoa wa Dar es Salaam katika Wilaya ya Kigamboni Januari 3, 2026 ambapo amekagua maendeleo ya ujenzi wa barabara za TARURA kupitia mradi wa DMDP miradi ambayo inatekelezwa kutokana na fedha zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

Aidha baada ya ukaguzi huo Mhe Reuben Kwagilwa kwa niaba ya Waziri wa Nchi OWM -TAMISEMI ametoa maelekezo kadhaa kwa Halmashauri katika mikoa yote nchini.

Mosi, Halmashauri ziwe na nidhamu ya makusanyo ya matumizi ya mapato, Utekelezaji na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo, Kutekeleza hoja za Mkaguzi wa hesabu za Serikali, na maagizo ya kamati mbalimbali za Bunge pamoja na matumizi sahihi ya mifumo mbalimbali ya TEHAMA.

Vilevile Naibu waziri ameelekeza Halmashauri zipeleke fedha za mapato ya ndani kwenye miradi ya maendeleo kwa mujibu wa miongozo, Utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa makundi husika, kuhakikisha maeneo ya Umma yanapimwa kama vile shule na vituo vya Afya, watumishi wafanye kazi kwa bidii na weledi, kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa mara kwa mara wa shughuli zinazotekelezwa katika maeneo yao pamoja na kuzingatia kanuni na taratibu za utumishi wa Umma.

Mwisho, Naibu Waziri ameagiza Mkoa Dar es Salaam kuhakikisha katika sekta ya elimu kusiwe na uhaba wa meza au kiti ambapo amesema dhamira ya Mhe Rais ni kuona mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia nchi nzima.

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 29 DISEMBA - 02JANUARI 2026 MKOA WA DSM January 05, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Naibu Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Mhe Kwagilwa Ahitimisha Ziara ya Kikazi Dar

    January 03, 2026
  • RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

    December 31, 2025
  • Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

    December 29, 2025
  • RC Chalamila Ashiriki Ibada ya Sikukuu ya Christmas Usharika wa KKKT Kimara Korogwe

    December 25, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa