• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

Posted on: February 11th, 2026

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ameeleza kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wa barabara ya mwendokasi ya BRT phase 4  kuelekea tegeta baada ya kukuta ujenzi huo ukiwa chini ya asilimia 50 wakati unapaswa kuwa umefikia asilimia 65 ambapo ametoa muda wa wiki mbili za matazamio kwa wakandasasi wa mradi huo kuongeza kasi kabla hatua kuanza kuchukiliwa

Akizungumza wakatu anafanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa daraja la mkwajuni na miradi ya ujenji wa barabara wilaya ya kinondoni Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila pamoja na kuridhishwa na ujenzi wa daraja la mkwajuni amesema hayupo tayari kuoma Rais Dkt Samia akitoa fedha nyingi kwenye ujenzi wa barabara za mwendokasi ambazo hazikamiliki kwa wakati.

RC Chalamila amesisitiza kuwa baada ya wiki mbili atazitembelea tena barabara hizo na hatua za kisheria zitachukuliwa endapo hakutakuwa na ongezeko la kasi ya ujenzi huo, hivyo amewataka wakandarasi wanaojenga barabara hiyo kufamya kazi usiku na mchana ( Saa 24)

Akihitimisha ziara hiyo kwenye daraja la mtongani kata ya kunduchi Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila ameeleza kuridhishwa na ujenzi wa daraja hilo na kufafanua namna ambavyo Rais Dkt Samia ametoa fedha kuboresha miundombinu ndani ya jiji hilo huki akotolea mifano ya daraja la nguva wilayani Kigamboni na mto mzinga wilayani Temeke ambako kote Rais Samia ametoa fedha

Aidha Meneja miradi msaidizi kutoka TANROAD Justin Moshi akatoa taarifa ya ujenzi wa mradi wa BRT 4 amesema mradi huo ulipaswa kuwa umekamilika hivyo uliongezwa muda lakini bado hatua nyingi hazijakamilika

Akiwa kwenye mradi wa ujenzi wadaraja la Mtongani ambalo lilibomoka kwa mvua Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule ameeleza namna daraja hilo lilivyoleta usumbufu baada ya kubomoka


Matangazo

  • MWENENDO WA BEI YA 02-06 FEBRUARI 2026 DSM February 10, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • MWENENDO WA BEI YA WIKI YA 26-30 JANUARI 2026 DSM February 09, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

    February 11, 2026
  • Uzinduzi wa Soko Jipya la Kariakoo

    February 08, 2026
  • RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

    February 06, 2026
  • Rais Samia Kuzindua Soko la Kariakoo Februari 08,2026

    February 06, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa