• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

Posted on: February 6th, 2026

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka walimu na wadau wengine wa elimu Mkoani humo kutafsiri vema maono ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha wanafunzi wanafanya vizuri kwenye masomo yao na baadae wanapohitimu masomo ili kuwa na kizazi chenye tija.

Akizungumza Jijini Dar es Salaam wakati wa mkutano wake na wadau wa elimu katika Mkoa huo wakiwemo walimu Mkuu na maafisa wengine katika sekta hiyo RC Chalamila amesema matarajio na maono ya Serikali kwenye sekta ya elimu ni makubwa na ndio maana imekuwa ikitumia fedha nyingi kuwekeza katika maeneo mbalimbali, hivyo ni muhimu kwa walimu na wadau wengine wa elimu kutafsiri maono hayo kwa vitendo.


Aidha RC Chalamila amewataka wakurugenzi, maafisa elimu na wakuu wa idara ya elimu kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zimazowakabili walimu ili kuweza kutimiza malendo na maono ya Rais Dkt Samia kwenye sekta ya elimu

Kwa upande wa Afisa elimu Mkoa wa Dar es salaam Bw Gift  Kyando  na Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bw Elihuruma Maberya wameeleza hali halisi  ya elimu katika Mkoa na mipango ya kuboresha elimu huku wakizungumzia pia mkakati wa kutengeneza mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia wanafunzi watakaomaliza darasa la saba na la sita mwakani ambao wote watakwenda kidato cha kwanza mwaka 2028

Sanjari na hilo baadhi ya walimu walioshiriki mkutano huo wameiomba Serikali kuendelea kuboresha mazingira ya shule ili kuwawezesha kufanya kazi zao kwa ufanisi hususani kwenye miundombinu na madawati.


Matangazo

  • NISHATI SAFI MASHINANI MKOA WA DAR ES SALAAM JANUARI 2026 February 03, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

    February 06, 2026
  • Rais Samia Kuzindua Soko la Kariakoo Februari 08,2026

    February 06, 2026
  • RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

    February 02, 2026
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa DSM Ndg Abdul Mhinte Aongoza Kikao cha Robo Mwaka

    January 30, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa