• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Ilala MC

Utangulizi

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ipo kati ya Latitudo 6 na 7 kusini mwa Ikweta na kati ya Longitudo 39 na 40 Mashariki. Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ina eneo la kilomita za mraba 210 ambapo zaidi ya asilimia 75% ya eneo hilo la Manispaa ya Ilala ni eneo la mji.

Manispaa ya Ilala imepakana na Manispaa za Kinondoni na Temeke kwa upande wa Kaskazini na Kusini, Mkoa wa Pwani kwa upande wa Magharibi na Bahari ya Hindi katika ukanda wa Pwani wenye urefu Kilomita 10 kwa upande wa Mashariki.


Idadi ya Watu

Kwa mujibu wa Sensa ya watu na makazi ya iliyofanyika Agost 2012, Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ina jumla ya wakazi wapatao 1,220,611, ambapo idadi ya Wanaume ni 595,928 na na wanawake ni 624,683


Utawala

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imegawanyika katika Tarafa tatu (3) ambazo ni Ukonga , Ilala  , na Kariakoo  . ambapo ina jumla ya Kata Thelathini na tano (35) zikiwa na jumla ya Mitaa mia moja na hamsini na tatu (153)

Aidha Halmashauri ya Manispaa ina Majimbo matatu (3) ya Uchaguzi ambayo ni Ilala, Ukonga na Segerea.

Mstahiki Meya ni Kiongozi Mkuu na Mkurugenzi wa Manispaa ni Mtendaji Mkuu kwa upande wa Serikali za Mitaa. Manispaa inaongozwa na Baraza la Madiwani.


Shughuli kuu za Wakazi

Shughuli muhimu za kiuchumi katika Manispaa ya Ilala ni biashara, viwanda, kilimo na uvuvi pamoja na huduma za kiuchumi na kijamii. Pato la wastani la mkazi wa Manispaa ya Ilala ni sh.489, 204.00 kwa mwaka.

kujua zaiadi kuhusu Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Bofya hapa

Matangazo

  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa kuanzia tarehe 29 - 02/2018 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kutatolewa msaada wa kisheria kwa wote waliodhulumiwa mali zao. January 22, 2018
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2018 Shule za Sekondari za Serikali December 08, 2017
  • Matibabu na Vipimo Bure kwa Wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuanzia tarehe 19- 25/11/2017 November 15, 2017
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makonda azindua Zoezi la Utoaji Chanjo ya Kuzuia Saratani ya Mlango wa Kizazi Dar

    April 23, 2018
  • Wanaume Waliokaidi Wito wa RC Makonda Kukamatwa Jumatatu

    April 20, 2018
  • Hospitali ya Mama na Mtoto Chanika iliyojengwa kwa jitihada za RC Makonda yazinduliwa Rasmi

    April 19, 2018
  • RC Makonda kutoa kadi za Bima ya Afya kwa watoto waliotelekezwa

    April 11, 2018
  • Tazama zote

Video

Dar es Salaam Auto Mobile Zone
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa