• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akutana na Makundi Maalum - DSM

Posted on: October 17th, 2025

 

-Ataka mikopo inayotolewa na Serikali kwa makundi hayo itolewe bila rushwa.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa ameelekeza mikopo inayotolewa na Serikali kwa makundi mbalimbali ya wajasiriamali na wafanyabiashara ikiwemo wanawake vijana na watu wenye ulemavu itolewe kwa uadilifu bila uwepo wa vitendo vya rushwa kwani yapo malalamiko kuwa waombaji mikopo wamekuwa hawapatiwi fedha kamili kama walivyoomba badala yale kulazimika kutoa shukrani kupitia fedha hiyo

Akizungumza katika mkutano uliowakutanisha makundi maalumu ya mkoa wa Dar es Salaam ikiwemo Mama lishe,Baba lishe, vijana,Wanawake,Bodaboda, Machinga na wadau mbalimbali, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema fedha za mikopo zinatolewa na Rais ili kuyawezesha makundi maalumu lakini ipo changamoto ya wakopaji kulazimika kutoa shukrani kupitia fedha hizo jambo ambalo huathiri kazi zao

Aidha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameeleza mikakati ya Rais Dkt Samia kuimarisha usafiri wa umma jijini humo kwa kuijenga miumdombinu bora na kuruhusu kampuni binafsi kuanza kutoa huduma ya usafiri wa mwendokasi ambao sasa umeanza kuimarika huku pia akisisitiza wananchi kujitokeza kushiriki kupiga kura Octoba 29,2025

Sanjari na hayo katika kukabiliana na changamoto ya ajira Waziri Mkuu Majaliwa ameshauri vijana kusoma kwa kizingatia kada yenye uhitaji mkubwa ndani  ya jamii lakini pia kusoma taaluma ambazo zinaruhusu vijana kujiajiri

Awali kabla ya kumkaribisha Waziri mkuu,Waziri wa maendeleo ya jamii jinsia wanawake na makumdi maalumu Dkt Doroth Gwajima amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya  Rais Samia haijamuacha mtu ama kikundi cha watu kwenye mpango wa maendeleo kwani amekuwa akiwezesha makundi yote ili watimize malengo yao

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameeleza namna ambavyo Serikali chini ya Rais Dkt Samia imekuwa ikiwawezesha wafanyabiashara kwa kuimarisha miundombinu ya barabara, madaraja uwepo wa umeme wa uhakika pamoja na kuboresha usafiri wa mwendokasi ambao ulikua ukilalamikiwa na amewahakikishia usalama wakazi wa jiji hilo kipindi cha uchaguzi.

Nao baadhi ya wadau na wataalamu walioshiriki Mkutano huo wameishukuru Serikali kwa maelekezo ya namna bora ya utoaji mikopo ili iwanufaishe wafanyabiashara wadogo badala ya mikopo hiyo kuwa ni adhabu kwa wafanyabiashara na wameahidi kushiriki kupiga kura oktona 29,2025

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akutana na Makundi Maalum - DSM

    October 17, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Madaraja - DSM

    October 15, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa