• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Utekelezaji wa Miradi

Posted on: October 5th, 2024

-Afanya kikao na watumishi wote wa Wilaya hiyo awataka kuchapa kazi kwa weledi.

-Akagua miradi ya elimu, Afya, Barabara na Kuongea na Wananchi katika viwanja vya Maturubai-Kizuiani

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa leo Octoba 05,2024 ameanza ziara katika Mkoa wa Dar es Salaam Wilaya ya Temeke kukagua miradi ya maendeleo na kisha kuongea na wananchi kupitia Mkutano wa Hadhara alioufanya katika viwanja vya Maturubahi Mbagala wilaya ya Temeke.

Mhe Kassim Majaliwa akiongea na watumishi wa Wilaya hiyo amewataka kuwahudumia vizuri wananchi, kupunguza urasmu, kujipanga kuondoa umasikini kwa wananchi kwa kuhakikisha wanapata huduma muhimu kama vile maji na umeme pia kuratibu vizuri makundi maalum ikiwemo wazee.

Aidha Waziri Mkuu amesema Serikali ya Dkt Samia inaendelelea kuboresha stahiki za watumishi ambapo amewataka kufanya kazi kwa weledi mkubwa.

Sambamba na hilo Waziri Mkuu amefungua Hostel ya kisasa katika shule ya Sekondari Kibasila ambapo amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii kwa kuwa Mhe Rais Dkt Samia ameshaboresha kwa kiasi kikubwa mazingira ya kufundishia na kujifunzia.

Sanjari na hilo Mhe Kassim Majaliwa amekagua mradi wa barabara inayoelekea bandari ya DSM , Ujenzi wa Hospitali ya Ghorofa 6 Mbagala na kisha kuongea na wananchi ambapo amewataka wananchi kuendelea kumuunga Mkono Rais Dkt Samia kwa kuwa jitihada zake za kuwaletea maendeleo wananchi zinaonekana.

Kwa upande wa Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila  akitoa salamu za mkoa amesema Mkoa uko shwari na amemshukuru Rais Dkt Samia Sukuhu Hassan kwa kuendelea kutoa pesa nyingi ambazo zinatekeleza miradi mbalimbali katika Mkoa huo kwa maslahi mapana ya ustawi wa jamii.

Mwisho Mhe Kassim Majaliwa anatarajiwa kuendelea na ziara yake Octoba 06, 2024 Katika Wilaya ya Kigamboni.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa