• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Uongozi wa Wamachinga Dar Wampongeza RC Makalla

Posted on: September 16th, 2021

Mhe Makalla akiongoza kikao kazi na Viongozi wamachinga mapema leo Jijini Dar es Salaam.


- Wamsifu kwa kupokea maagizo ya Rais na kufanya kikao shirikishi na Uongozi wa Machinga

- Wamekiri kuwepo kwa biashara holela Dar, na kuahidi ushirikiano na Serikali

- Mhe Makalla awahakikishia Machinga hakuna atakayekosa sehemu  "nimejipanga vizuri"

- Asema kesho septemba 17,2021 atazindua rasmi mpango wa kuwapanga wamachinga DSM

Uongozi wa Wamachinga Mkoa wa Dar es Salaam umefurahishwa na Kikao cha RC Makalla na Viongozi wa Machinga* kuhusu kuwapanga Machinga katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Mkutano wa Mkoa na kuhudhuriwa na Waheshimiwa wakuu wa Wilaya, Kamati ya ulinzi na Usalama, Sekretarieti ya Mkoa na Viongozi wa Wamachinga kutoka Wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam.

Akiongea wakati wa kikao hicho Makamu mwenyekiti wa wamachinga Taifa Ndg Steven Silinde kwa niaba ya wenzake amesema amefurahishwa na namna RC Makalla alivyojipanga kuwapanga wamachinga DSM

" Kikao kazi cha leo kimekuwa shirikishi nasi viongozi wa Wamachinga tumetoa maoni yetu kwa uwazi tukiwa huru, tunamhakikishia Mkuu wa Mkoa Ushirikiano uliotukuka" Alisema Ndg Lusinde

Akaendelea kufafanua siku za nyuma maagizo ya Kitolewa na Rais yamekuwa yakitekelezwa bila kutushirikisha viongozi wa Wamachinga lakini Mkuu wa Mkoa ametuita na kuongea nasi kwa namna hiyo tunampongeza RC Makalla na tunamuahidi ushirikiano mzuri katika jambo hilo alisisitiza Ndg Lusinde

Aidha Mhe Makalla akiongea wakati wa kikao hicho amebainisha yeye binafsi alishafanya utafiti wa kutosha juu ya biashara holela DSM, amewataka viongozi hao kumpa ushirikiano.

Akasisitiza Machinga ni taasisi muhimu hakuna mmachinga atakosa sehemu ya biashara, watapangwa vizuri na kesho septemba 17,2021 nazindua rasmi mpango wa kuwapanga wamachinga DSM ndani ya mwezi mmoja kama waziri Mkuu alivyoelekeza  wamachinga watakuwa wamepangwa Alisema Mhe Makalla

# Dar es Salaam isiyo na wafanyabiashara holela inawezekana kikubwa ni ushirikiano kwa maslahi mapana ya Mkoa na Taifa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa