• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Uingizaji vitenge kwa Magendo Umeshusha Uzalishaji NIDA TEXTILE

Posted on: August 19th, 2022

 

- NIDA Textile waomba serikali kupitia TRA kudhibiti vitenge vya magendo.

- Uzalishaji umeshuka kutoka mita miolini 8 mpaka milioni 4.

- RC  Asema serikali itaendelea kuchukua hatua Za kulinda viwanda vya ndani Na ameagiza TRA kuchukua hatua Za haraka

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla ameelekeza Mamlaka ya mapato TRA kudhibiti uingiaji wa Bidhaa za Magendo kwakuwa zinachangia kudorora kwa uzalishaji wa viwanda vya ndani na kupelekea kufa.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo wakati wa ziara kwenye Kiwanda Cha NIDA Textiles Mills Ltd Baada ya kupokea malalamiko ya ongezeko la Bidhaa za Magendo ikiwemo Vitenge, Mashuka na kanga ambapo kwa mujibu wa Kiwanda kilikuwa kikizalisha Mita Milioni 8 za vitenge kwa mwezi lakini Baada ya kushamiri vitenge vya Magendo uzalishaji umeshuka mpaka Mita Milioni 4

Kutokana na Hilo RC Makalla amewahakikishia Wawekezaji Wenye viwanda kuwa Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya Biashara ikiwa ni pamoja na kusimama kidete kudhibiti Bidhaa za Magendo.

Aidha RC Makalla amekipongeza Kiwanda hicho kwa uzalishaji wa *Bidhaa zenye ubora jambo linaloitangaza Nchi kimataifa.

Kwa upande wake Meneja wa Kiwanda Cha NIDA Textiles Mills Ltd Mohamed Honelo mbali na kumshukuru RC Makalla kwa kuchukuwa hatua za haraka kuwatembelea Baada ya kupokea malalamiko pia wameahidi kuendelea kuzalisha Bidhaa zenye ubora

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI YA 02-06 FEBRUARI 2026 DSM February 10, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • MWENENDO WA BEI YA WIKI YA 26-30 JANUARI 2026 DSM February 09, 2026
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalimila Aendelea Kuchanja Mbuga Wilaya ya Kinondoni

    February 12, 2026
  • RC Chalamila Achukizwa na Kasi ndogo ya Utekelezaji wa Miradi ya BRT Kinondoni

    February 11, 2026
  • Uzinduzi wa Soko Jipya la Kariakoo

    February 08, 2026
  • RC Chalamila Ataka Walimu Kutafsiri Vema Maono ya Rais Samia

    February 06, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa