• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Atoa Vipaumbele kwa Wakuu Wapya wa Wilaya za DSM

Posted on: January 31st, 2023

 

RC Makalla Akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wapya wa Wilaya za DSM

M - Mapato 

K - Kero za Wananchi 

U - Ulinzi na Usalama 

U - Usafi wa Mazingira 

U - Ufuatiliaji Miradi ya maendeleo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amewaelekeza Wakuu wa Wilaya waliohamishiwa Vituo vya Kazi Mkoani humo kuhakikisha Wanafanya majukumu Yao kwa Weledi na ufanisi Ili kumsaidia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aliewaamini na kuwateua.

RC Makalla amesema hayo wakati wa kikao kazi na Wakuu wa Wilaya waliohamishiwa Mkoani humo na wale waliokuwepo awali na kuhamishiwa Vituo vipya vya kazi ambapo pia amewakabidhi Vitabu vya Mwongozo wa Mpangokazi wa kuwapanga vizuri Wafanyabiashara wadogowadogo na mkakati wa usafi Dar es salaam.

Miongoni mwa Wakuu hao wa Wilaya ni pamoja na Edward Mpogolo Mkuu wa Wilaya ya Ilala akitokea Wilaya ya Same, Halima Bulembo Wilaya ya Kigamboni akitokea Muheza, Hashim Komba Wilaya ya Ubungo akitokea Nachingwea, Mwanahamisi Mukunda Wilaya ya Temeke akitokea Bahi na Saadi Mtambule Wilaya ya Kinondoni akitokea Mufindi.

Akizungumza wakati wa kikao hicho, RC Makalla amewasisitiza kufanya usimamizi thabiti wa ukusanyaji wa mapato na utatuzi wa kero na changamoto za Wananchi.

Aidha RC Makalla amewaelekeza kusimamia kikamilifu suala la Ulinzi na usalama,  usafi wa mazingira na kufanya ufuatiliaji na Wa Miradi ya maendeleo.

Pamoja na hayo RC Makalla amewasisitiza kufanya kazi kwa kuzingatia Utekelezaji wa *ilani ya uchaguzi ya CCM,  Maagizo ya Viongozi wa Juu wa Serikali na Sera na mwelekeo wa CCM

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa