• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA: AONGOZA USAFI HOSPITALI YA MUHIMBILI

Posted on: October 29th, 2022

 

- Uongozi Hospitali ya Muhimbili wasema kurudi kwa machinga eneo la Muhimbili ni eneo hatarishi 

- RC Makalla atangaza eneo hilo ni hatarishi wamachinga wabaki maeneo waliyopangiwa

-Ahamasisha wananchi kushiriki usafi katika maeneo yao

RC Makalla ameongoza kufanya usafi Hospitali ya Muhimbili  eneo la stendi leo Octoba 28,2022 akiwa pamoja na Uongozi wa Hospitali hiyo, Wadau wa Usafi, na Wananchi wanaozunguka katika eneo hilo

Aidha Uongozi wa Hospitali hiyo chini ya Mtendaji Mkuu Prof Mohamed Janabi wamesema wamachinga wamerudi katika eneo ambalo ni hatarishi ambapo kuendelea kufanya shughuli zao katika eneo hilo ni rahisi kupata magonjwa na kwenda kueneza kwa watu wengine

Kwa hiyo kutokana na wamachinga kurudi katika eneo hilo ambalo ni hatarishi RC Makalla ametangaza wamachinga wabaki katika maeneo waliyopangiwa na Serikali ambayo ni rasmi

Sambamba na hilo RC Makalla amehamasisha Wananchi kushiriki usafi katika maeneo yao ili kuendana na kampeni endelevu ya Safisha Pendezesha Dar es Salaam Usafi husaidia kukabiliana na magonjwa ya milipuko kama kipindupindu

Hata hivyo RC Makalla amepokea vifaa vya usafi kutoka Kampuni ya Uniliver na shilingi milioni moja kutoka kwa mdau wa usafi wa eneo la standi ya Muhimbili familia ya Mbaga fedha ambayo ameelekeza inunue vifaa vya usafi pia

Kwa Upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili *Prof Mohamed Janabi* amemhakikishia mkuu wa Mkoa kuendeleza usafi katika eneo la Hospitali na amethibitisha kitaalamu kuwa eneo la stendi ni hatarishi hivyo wanafanyabiashara wadogo (wamachinga) wasifanye biashara eneo hilo

kumbukwe kuwa RC Makalla ameshiriki Usafi wa mwisho wa mwezi katika eneo hilo ikiwa ni muendelezo wa utaratibu aliojiwekea wa kujumuika na jamii kufanya Usafi kila mwisho wa mwezi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa