• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Wanufaika wa Mikopo ya Elimu ya Juu Rejesheni Iwanufaishe na Wengine

Posted on: February 13th, 2025

 

-Asema Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu inatarajia kuadhimisha miaka 20 Februari 17, 2025.

Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 20 ya bodi ya mikopo ya wanzafunzi wa elimu ya juu februari 17 mwaka huu ambapo Rais Dkt Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wadau mbalimbali kushiriki maadhimisho hayo pia amewataka wahitimu wa vyuo  walionufaika na mikopo inayotolewa na Bodi kufanya marejesho ili kutoa fursa kwa wanafunzi wengine kuweza kunufaika

Akizungumza leo Feb 13, 2025 ofisini kwake Ilala Boma-Jijini Dar es salaam na waandiahi wa habari RC Chalamila amesema bodi ya mikopo ya elimu ya juu inaadhimisha miongo miwili yaani miaka 20 tangu kuanzishwa kwake ikiwa imenufaisha zaidi ya wahitimu 830,000 kwa kuwapatia mkopo hivyo ni muhimu kwa wahitimu walio katika ajira rasmi na waliojiajiri kufanya marejesho

Aidha RC Chalamila amesema Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu imeongeza bajeti ya fedha kwenye bodi hiyo kutoka shilingi bilioni miatano sabini kwa mwaka wa fedha 2021-2022 hadi kufikia shilingi bilioni mia saba themanini na saba kwa mwaka 2024-2025 na kwamba kwa mwaka huu  zaidi ya wanafunzi laki mbili na na elfu arobaini na saba wananufaika na mikopo hiyo hivyo ni muhimu kufanya marejesho

Sambamba na hilo RC Chalamila amezungumzia maadhimisho ya miaka 20 tangu kuanzishwa kwa Bodi hiyo ya mikopo ambapo amesema maadhimisho hayo yameanza februari 10 kwa maonesho ya huduma za bodi hiyo yatakayodumu hadi februari 14 kwenye mikoa 7 ya kikanda ambayo ni Dodoma, Mwanza, Arusha, Mbeya, Dar es salaam, Mtwara pamoja na Zanzibar lengo likiwa ni kukutana ni kutanua wigo wa kutoa huduma hiyo.

Vilevile RC Chalamila amesema kuwa Alfajiri ya februari 15 kutakua na mbio za pole yaani joging zitakazoongozwa na Rais wa Zanzibar Dokta Hussein Mwinyi kuanzia viwanja vya farasi Oesterbay na kilele cha maadhimisho hayo kitakua februari 17 ambapo mgeni rasmi anatarajia kuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye ukumbi wa JNICC

Mwisho kilele hicho kitahudhuriwa pia na wageni kutoka mataifa mbalimbali kutoka bara Asia,South America,Ulaya na bara la Afrika

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa