• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Serikali Kuendelea Kuunga Mkono Juudi ya Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili

Posted on: July 4th, 2023

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema Serikali itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili (TATAKI) kwa masilahi mapana ya Taifa la Tanzania.

RC Chalamila amesema hayo leo Julai 04, 2023 katika Ukumbi wa Maktaba Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam akiwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani (MASIKIDU 2023) ambayo yameshirikisha wadau wa Kiswahili kutoka nchi mbalimbali Duniani, na mwaka huu kilele kitakuwa Julai 7, 2023 Zanzibar

Mhe Albert Chalamila amesema huwezi kutenganisha Kiswahili na Utamaduni wa Mtanzania, hivyo Serikali wakati wote itaendelea kushikamana bega kwa bega na TATAKI katika juhudi za kuendeleza lugha hiyo katika dhana ya maendeleo endelevu

Aidha amesema Lugha ya Kiswahili imekuwa ikitumika kitaaluma na Kimawasiliano hata hivyo katika nyakati za sasa lugha hiyo imekuwa ikipitia Changamoto katika kukua kwake kutokana na uvamizi wa lugha zingine nchini, hivyo hatupaswi kukaa kimyaa lazima tuendelee kupiga kelele katika matumizi ya lugha hiyo kwa ufasaha katika nyanja mbalimbali ndani na nje ya nchi, bahati nzuri Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ana utashi mkubwa na lugha ya Kiswahili

Kwa Upande wa Prof. Bernadeta Killian wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam amesema Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili imekuwa na mipango mikakati mingi katika kukuza lugha ya Kiswahili ikiwemo mkakati wa Kushirikiana na wadau, Ufadhiri wa Kusoma Kiswahili kwa mataifa mbalimbali nchini, vilevile Punguzo la Ada

Mwisho RC Chalamila alipata wasaa wa kuzindua machapisho na kugawa vyeti kwa wadau mbalimbali wa lugha ya Kiswahili

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa