• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Serikali Imeshachukua Hatua za Haraka Kupunguza Tatizo la Ukosefu wa Maji-DSM

Posted on: October 2nd, 2024

 

-Asema Rais Samia amefanya uwekezaji katika sekta ya maji zaidi ya Bilioni 490.

-Mitambo ya bilioni 6 kufungwa ili kumaliza changamoto ya kukosekana kwa maji

-Aitaka DAWASA kusimamia kwa karibu upotevu wa maji.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Oktoba 2, 2024 amefanya ziara katika ofisi za makao makuu DAWASA Jijini humo akiwa ameambatana na Kamati ya Usalama Mkoa, wakuu wa Wilaya zote za Mkoa, pamoja na wataalam wengine.

RC Chalamila amesema lengo la ziara yake katika mamlaka hiyo ni kutokana na malalamiko ya watu katika baadhi ya maeneo ya Mkoa huo kuhusu kukosekana kwa maji ambapo amewatoa hofu wananchi kuwa tayari Serikali imeshachukua hatua za haraka kupunguza changamoto ya ukosefu wa maji kwa kuagiza baadhi ya mitambo ya zaidi ya bilioni 6 itakayosaidia uchujaji na usafirishaji wa maji kutoka kule kwenye chanjo kwenda kwa wananchi.

Mhe Chalamila amesema malalamiko ni ya muda mfupi tu ndani ya kipindi cha miezi 3 mitambo itakuwa tayari imeshafungwa na huduma ya maji kurejea kama kawaida. " Rais Dkt Samia amefanya uwekezaji mkubwa wa zaidi ya bilioni 490 katika sekta ya  maji Mkoa wa DSM matarajio yetu malalamiko yatakuwa machache" Alisisitiza Mhe Chalamila.

Kwa upande wa Kaimu Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Mkama Bwire ametoa shukrani kwa Rais Dkt Samia kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya maji ambapo ameaidi kutekeleza kwa weledi mkubwa maelekezo yaliyotolewa na Mkuu wa Mkoa kwa masilahi mapana ya wananchi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa