• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Aungana na JKCI Matembezi ya Hiari

Posted on: August 23rd, 2025

 

-Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete.

-Atoa rai kwa wananchi hususani wakazi wa DSM kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila mapema leo Agosti 23 ameungana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete katika matembezi ya hiari maarufu kwa jina la Tembea na Jakaya Kikwete Cardiac Institute.

Matembezi hayo ni muendelezo wa matukio mbalimbali kwa Taasisi hiyo kuelekea maadhimisho ya miaka 10 ya JKCI toka ianzishwe.

RC Chalamila akiongea baada ya matembezi hayo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa uwekezaji mkubwa katika sekta ya Afya hapa nchini hususani JKCI ambapo amesema uwekezaji katika Taasisi za afya  ili uwe na tija lazima mambo muhimu zaidi ya matatu yazingatiwe mosi, Human Capital yaani wataalamu wa kutosha wenye sifa, pili Vifaa tiba vinavyoendana na Teknolojia ya kisasa, na tatu miundombinu mbinu safi kama vile majengo toshelevu.

"Ninamshukuru Mhe Rais kwa kuwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya kikwete mambo hayo yamezingatiwa ndiyo maana Taasisi hiyo imekuwa ikitoa huduma bora za kibobevu kwa watanzania na pia mataifa mengine ya nje na nchi jirani" Amesema Chalamila.

Aidha kuelekea maadhimisho ya miaka 10 JKCI imeendelea kufanya vizuri katika maeneo mbalimbali ya utoaji huduma kwa sasa tayari imeanzisha kitengo maalum cha Sports Cardiology ambacho kinatoa huduma ya Afya check kwa wanaofanya mazoezi na michezo mbalimbali ikiwemo mpira wa miguu.

Mwisho RC Chalamila ameshiriki matembezi ya hiari kuanzia viwanja vya Farasi Ostytebay hadi JKCI makao makuu ambapo ameendelea kutoa rai kwa jamii umuhimu wa kushiriki mazoezi, kwa kuwa mazoezi ni Afya

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Tukio la kusaini Mkataba wa Makubaliano ya Mashirikiano kati ya Water Aid na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Halmashauri ya Jiji , Kigamboni na Temeke.

    August 20, 2025
  • RC Chalamila Aungana na JKCI Matembezi ya Hiari

    August 23, 2025
  • RC CHALAMILA ATANGAZA ZAWADI NONO KWA TAIFA STARS

    August 22, 2025
  • RC CHALAMILA AZINDUA MFUMO WA USAMBAZAJI GAS YA ORYX KATIKA SOKO LA FERRY

    August 21, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa