• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Atoa Salaam za Pole kufuatia vifo 4 vya Masista wa Kanisa Katoriki

Posted on: September 19th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam  Mhe Albert Chalamila leo Septemba 19, 2025 ameungana na waombolezaji katika Misa Takatifu ya Mazishi ya Masista wa shirika la Wakarmeli Wamisionari wa mtakatifu Teresia wa Mtoto   Yesu Boko Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.

Akitoa Salaam za Pole wakati wa Misa Takatifu ya Mazishi, RC Chalamila amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia anatoa pole kwa shirika na kanisa Katoriki kwa ujumla kufuatia vifo hivyo ambavyo vilitokana na ajali ya gari pia Mkuu wa Mkoa ametoa pole na rambirambi ya shilingi milioni 10 pamoja na kuchangia milioni 10 nyingine kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Kanisa la Parokia hiyo ya Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu. "Miili hii ya Masista ni pengo kubwa kwa Kanisa Katoriki na Shirika la Wakarmeli  Wamisionari wa Mtakatifu Teresia wa Mtoto Yesu, Tuyapokee yote katika Kristo kama Biblia ilivyosema" Alisema RC Chalamila

Ifahamike kuwa Masista hao 4  ambao ni Sr M. Lilian G Kapongo, Sr. M.Nerina De Simone, Sr. M. Damaris Matheka, Sr Stellamaris Muthini walifikwa na umauti Septemba 15,2025 kutokana na ajali ya gari lililogongana na gari kubwa Mkoani Mwanza

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Marufuku Mabaunsa Kutumika Kutoa Watu Meneo Yenye Migogoro DSM.

    September 24, 2025
  • RAS - DSM Sports Club yapata ushindi wa pili katika Mchezo wa Draft

    September 22, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mawili kwa Wakuu wa Wilaya ya Ubungo,Kigamboni na Gari moja kwa Golikipa wa Taifa Stars

    September 22, 2025
  • RC Chalamila Atoa Salaam za Pole kufuatia vifo 4 vya Masista wa Kanisa Katoriki

    September 19, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa