• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC CHALAMILA ATANGAZA ZAWADI NONO KWA TAIFA STARS

Posted on: August 22nd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ametangaza kutoa zawadi ya shilingi milioni 20 pamoja na viwanja viwili kwa timu ya Taifa la Tanzania (Taifa Stars) mara baada ya kufunzu hatua ya robo fainali huku akiahidi motisha zaidi kulingana na matokeo ya mchezo wa leo dhidi ya Morocco.

Akizungumza Jijini Dar es Salaam leo Agosti 22, 2025 RC Chalamila amesema kila bao litakolofungwa katika mchezo huo litazawadiwa shilingi  milioni 5 ambapo mfungaji atapokea milioni 1 na mtoa pasi ya bao (assit) atapokea shilingi laki 5.

Aidha amebainisha kuwa kipa atakayefanikisha kuzuia bao bila kuruhusu nyavu zake kuguswa atajinyakulia zawadi ya gari jipya aina ya Toyota Crown.

Zawadi hizi ni ishara ya heshima kubwa kwa Taifa Stars kwa kuendelea kutuwakilisha vizuri, nawashukuru kwa kushinda michezo 3 mfululizo. "Nawasihi watanzania kujitokeza kwa wingi katika uwanja wa Benjamini Mkapa kushangilia timu yetu" Alisema RC Chalamila

Matangazo

  • NISHATI SAFI MASHINANI MKOA WA DAR ES SALAAM JANUARI 2026 February 03, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa Zana Endelevu za Kilimo Afrika

    February 02, 2026
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa DSM Ndg Abdul Mhinte Aongoza Kikao cha Robo Mwaka

    January 30, 2026
  • RC Chalamila Akabidhi Hundi Bilioni 7.5 Temeke

    January 27, 2026
  • RC Chalamila Aongoza Zoezi la Upandaji Miti Kusherekea Siku ya Kuzaliwa Rais Dkt Samia

    January 27, 2026
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa