• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Uongozi Unaoacha Alama - DSM

Posted on: September 15th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka viongozi na watendaji katika Mkoa huo kubuni na kutekeleza miradi yq maendeleo ambayo itaweka historia au alama isiyosahaulika kwa jamii, kuhakikisha wanafanya majukumu yao kwa weledi ili waache athari chanya za maendeleo pindi wanapomaliza muda wao au kuhama kituo cha kazi ili waweze kukumbukwa kwa mazuri

Akizungumza katika Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam wakati wa  mkutano maalum uliokutanisha watendaji wa Halmashauri ya Temeke ambapo Halmashauri hiyo imewasilisha taarifa ya miradi ya elimu na afya inayotekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 70 ambapo RC Chalamila ameipongeza Halmashauri hiyo kwa kuandaa mpango huo wenye masilahi mapana kwa wananchi

Aidha RC Chalamila amewasisitiza watendaji hao pamoja na viongozi wa Wilaya zote za mkoa huo chini ya wakuu wa wilaya kuhakikisha waakwenda sambamba na maono ya Rais Dkt Samia kwa kuimarisha huduma muhimu za kijamii na amesisitiza watendaji na viongozi kuacha  kumbukumbu nzuri za kazi walizozifanya wanapomaliza vipindi vyao vya utumishi

Hata hivyo Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila ametolea mfano wa msongamano wa magari jijini humo kama moja ya changamoto inayowakabili wananchi wa jiji hilo na kusema ni muhimu kubuni mpango wa kumaliza changamoto hiyo jambo ambalo litakumbukwa daima

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda amesema katika miradi hiyo ya shule na ya afya inayotekelezwa kupitia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2025/2026 na 2026/2027 miradi yote inatekelezwa kwa mfumo wa ghorofa ili kuepuka changamoto ya uhaba wa maeneo

Mpango huo uliowasilishwa unahusisha shule tatu za   Makangarawe,Mwmbebamia na Kibondemaji,lakini pia unahusisha hospotali mbili za vigoa na malela pamoja na stendi ya mbagala

Mwisho RC Chalamila amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa kuhakikisha kila Halmashauri Mkoani humo inaanzisha timu ya mpira, pia zianzishwe Sports Academy  vilevile ameelekeza kwa majengo mapya ya shule yanayojengwa sasa yawe na Smart Classes ili kwenda sambamba na ulimwengu wa kidijitali

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Uongozi Unaoacha Alama - DSM

    September 15, 2025
  • RC Chalamila Atembelea Soko la Kawe ambalo Limeungua kwa Moto

    September 15, 2025
  • KATIBU TAWALA WA MKOA DSM NDG ABDUL MHINTE AKUTANA NA WATUMISHI WA WILAYA YA TEMEKE NA KIGAMBONI

    September 11, 2025
  • KATIBU TAWALA WA MKOA NDG ABDUL MHINTE ATAKA MAARIFA ZAIDI YATUMIKE KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO DSM

    September 10, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa