• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Ataka Masuala ya Uhifadhi wa Mazingira Kupewa Kipaumbele

Posted on: June 10th, 2024

 -Asema bado bajeti zinazotengwa kwenye taka na uchafu ni kidogo sana 

-Ataka hatua za haraka zifanyike katika kupendezesha Jiji la Dar es Salaam. 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Juni 10,2024 ameongoza kikao cha kimkakati cha wadau cha udhibiti wa suala la maji taka na uhifadhi wa mazingira katika ukumbi wa Arnautoglo Mnazimmoja Jijini humo 

RC Chalamila akiongea wakati wa kikao hicho amesema masuala ya uchafu yanayatesa majiji mengi Duniani pamoja na wataalam au viongozi kwenda kujifunza maeneo mbalimbali lakini utekelezaji unakuwa hafifu hivyo ni wakati muafaka kila mmoja kuamka sasa masuala ya usafi yawe ni tabia na utamaduni wa kila siku 

Aidha RC Chalamila amesema masuala ya uhifadhi wa mzingira yapewe kipaumbele katika Taasisi na wilaya zote za mkoa huu ambapo amesema bado bajeti zinazotengwa kwa ajili ya taka na uchafu ni kidogo sana hivyo ni vema kufanya maboresho ya kibajeti. 

Vilevile RC Chalamila ametaka hatua za haraka kuchukuliwa katika kupendezesha jiji ikiwemo kuweka Perving, kupanda maua na bustani maeneo mbalimbali ya Mkoa pia kupaka rangi majengo chakavu ili DSM ivutie wakati wote Sanjari na hilo 

RC Chalamila amekemea vikali magari kupaki ovyo barabarani ambapo amesema sio kila sehemu unaweza weka kituo cha magari ila ofisi inawezekana amewataka wakuu wa wilaya kusimamia hilo pia amesema suala la kudhibiti taka linaweza kutoa fursa za ajira kwa vijana ambao siku zote wanatafuta ajira hivyo ni vema kuwa na ubunifu katika hilo 

Kwa upande wa katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt Toba Nguvila ambaye ndiye mtendaji mkuu katika Mkoa amemuhakishia Mkuu wa Mkoa kuyafanyia kazi maagizo na maelekezo yake kwa masilahi mapana ya wana Dar es Salaam na Taifa kwa ujumla Mwisho kikao kazi hicho kimewahusisha wadau na wataalam kutoka katika Taasisi, na wilaya zote za Mkoa wa Dar es Salaam

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa