• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Aridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Miradi Mikubwa ya Elimu Temeke

Posted on: September 16th, 2025

 

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea miradi ya ujenzi wa shule mpya wilayani Temeke na kujiridhisha juu ya taarifa iliyowasilishwa na Halmashauri hiyo juu ya ujenzi wa miradi yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 70 ambayo ujenzi wake umeanza

Akizungumza akiwa katika mradi wa ujenzi ya shule ya Sekondari Mwembe bamia wilayani Temeke Jijini Dar es Salaam RC Chalamila amewataka wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia katika utekelezaji wa miradi ya elimu lengo ni kuhakikisha kila mtoto aliye kwenye umri wa kusoma anapata fursa hiyo

RC Chalamila amesema kuwa maamuzi yaliyochukuliwa na Halmashauri hiyo kujenga miradi kwa fedha za ndani zaidi ya shilingi bilioni 70 ni maamuzi magumu yenye lengo la kuboresha maisha ya wananchi huku akisisitiza suala la ujenzi wa miradi ya shule na hospitali kufanywa kwa mfumo wa ghorofa kutokana na ufinyu wa Ardhi

Aidha akizungumza wakati akifanya majumuisho ya ziara hiyo Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila amesema ujenzi unaofanyika ni fedha iliyotolewa na Rais inayotokana na watanzania pamoja na vyanzo vingine ambavyo Rais amekuwa akivitafuta akijitoa katika kuwahudumia na kuwatumikia watanzania

Hata hivyo ametumia ziara hiyo kuwakumbusha watanzania kujitokeza kushiriki uchaguzi mkuu kwa kushiriki kupiga kura Oktoba 29,2025 ili kuwezesha kupata viongozi watakaoiongoza Tanzania kwa miaka mingine mitano kwa njia za kidemokrasia

Naye Nasoro Sultani Matope ni mmoja wa wananchi wakazi wa Mwembebamia waliojitokeza wakati wa ziara hiyo ameipongeza Serikali chini ya Rais Dokta Samia kwa kuleta miradi hiyo ya shule ambayo inakwenda kumaliza changamoto ya watoto wao kusafiri umbali mrefu kwenda shule

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Aridhishwa na Maendeleo ya Ujenzi wa Miradi Mikubwa ya Elimu Temeke

    September 16, 2025
  • RC Chalamila Ataka Uongozi Unaoacha Alama - DSM

    September 15, 2025
  • RC Chalamila Atembelea Soko la Kawe ambalo Limeungua kwa Moto

    September 15, 2025
  • KATIBU TAWALA WA MKOA DSM NDG ABDUL MHINTE AKUTANA NA WATUMISHI WA WILAYA YA TEMEKE NA KIGAMBONI

    September 11, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa