• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akutana na Viongozi wa Dini - DSM

Posted on: July 8th, 2025

-Asema Viongozi wa Dini ni muhimili muhimu katika kulinda Amani ya Taifa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amewataka viongozi wa Dini kuendelea kuliombea Taifa amani na kuhubiri masuala ya amani na utulivu wa Nchi ili kuepuka madhara yatokanayo na uvunjifu wa amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu

Akizungumza leo jijini Dar es salaam latika kikao maalum na viongozi wa Dini RC Chalamila amesema viongozi wa dini ni muhimili katika kutunza amani ya nchi huku akisisitiza kuwa serikali kupitia jeshi la polisi itaendelea kuimarisha ulinzi na amewataka watanzania kujifunza madhara ya uvunjifu wa amani kupitia mataifa jirani yenye vurugu

Aidha RC Chalamila ameongeza kuwa hakuna kiongozi anaependa kuona wananchi wake wakikabiliwa na vitendo vya ukatili na uvunjifu wa amani hivyo ni muhimu kwa viongozi wa Dini kusimama imara kupitia madhabahu kwenye nyumba za ibada kuhubiri amani

Kwa upande wa Shekh wa Mkoa wa Dar es Salaam ambae pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya amani ya Mkoa huo Shekh Walid Kawambwa amesema viongozi wa Dini wana nafasi kubwa ya kuimarisha amani na kujenga maadili ndani ya jamii hivyo watumie nafasi zao vizuri huku Mtume Boniface Mwamposa wa makanisa ya Arise and Shine akihimiza viongozi wa Dini kutumia vyema madhabahu kuhubiri amani

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amesema kuwa viongozi wa dini wamekuwa na mchango mkubwa katika kuombea amani na utulivu wa nchi kwa kushirikiana na makundi mbalimbali ikiwemo wafanyabiashara na bodaboda

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akutana na Viongozi wa Dini - DSM

    July 08, 2025
  • RC Chalamila Ataka Wenyeviti na Watendaji Kata na Mitaa Dar Kusimamia Ulinzi na Usalama

    July 04, 2025
  • RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Daraja la Kigogo, Mkwajuni na Jangwani

    June 27, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Maandalizi ya Maonesho ya Sabasaba 2025

    June 26, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa