• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akutana na Viongoz wa Wafanyabishara Wakubwa na Machinga Kariakoo

Posted on: July 6th, 2024

 

-Asikikiliza maoni na ushauri katoka pande zote mbili wafanya biashara wakubwa na machinga

-Aelekeza kuundwa kamati ambayo itaongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Julai 06,2024 amekutana na kufanya kikao na viongozi wa wafanyabiashara wakubwa na machinga wa kariakoo katika ukumbi wa Arnatoglo Mnazimmoja Ilala.

Kikao hicho kiliwajumuhisha wakuu wa wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya wakurugenzi na wataalam kutoka ofisi ya mkuu wa mkoa wakiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa huo Dkt Toba Nguvila.

RC Chalamila kupitia kikao hicho alipata wasaa wa kuwasikiliza vongozi wa Machinga na viongozi wa wafanyabiashara juu ya namna bora ya kuondoa migongano ya kibiashara kati ya wafanyabiashara wakubwa wa kariakoo na machinga ambao wamekuwa wakilalamikiwa kufanya biashara mbele ya maduka na kufunga baadhi ya mitaa ya kariakoo.

Aidha baada ya kuwasikiliza kwa makini RC chalamila ameelekeza kuundwa kwa kamati ambayo itakuja na majibu au suluhu ya malalamiko katika pande zote mbili, upande wa machinga na wafanyabiashara wakubwa,kamati hiyo itaongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa pamoja na wajumbe wengine watakaochaguliwa ambapo ametaka kamati kufanya kazi kwa haraka iwezekanavyo.

Sanjari na hilo RC Chalamila amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Ilala na wataalamu wake mapema iwekanavyo kuja na proposal ya ushauri wa Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan juu ya namna bora ya kuwapanga machinga, pia machinga wenyewe waketi waanishe ni kipi wangependa serikali iwasaidie ili kumaliza migogoro yao.

Mwisho RC Chalamila ametoa rai kwa wafanyabiashara hao kutanguliza upendo nyakati zote kwa kuwa makundi yote mawili yanahitajiana pia kuendelea kuilinda amani katika Mkoa huo kwa nguvu zote.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa