• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akabidhi Vitendea Kazi Sekta ya Mifugo-DSM

Posted on: March 7th, 2024

- Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwekeza  katika Sekta ya mifugo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Machi 7,2024 amekabidhi pikipiki 24 aina ya boxer zenye thamani ya milioni 72 kama vitendea kazi kwa sekta ya mifugo katika Mkoa huo.

Akiongea na Wataalam waliokuja kupokea pikipiki hizo kutoka Wilaya zote za Mkoa huo amemshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa jitihada yake kubwa katika Kuboresha Sekta mbalimbali hapa nchini ikiwemo Sekta ya mifugo ambapo kupitia wizara ya mifugo na uvuvi ametoa pikipiki hizo kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Aidha RC Chalamila amewataka wataalam hao kutumia pikipiki hizo vizuri,kwenda kuelimisha na kuhamasisha jamii ufugaji wa kisasa na wenye tija ambao utawezesha kujikwamua kiuchumi kuondokana na umasikini.

Vilevile ametoa taadhari ya matumizi mabaya ya vyombo hivyo kwa kuwa ni vyombo vya moto ni vema vitumike kwa uangalifu mkubwa.

Naye Katibu Tawala msaidizi uchumi na uzalishaji Mkoa Dkt Elizabeth Mshote amesema sekta ya mifugo katika Wilaya zote za Mkoa wamepatiwa pikipiki 24 kwa mgawanyo ufuatao Halmashauri ya Jiji pikipiki 5, Kinondoni 4, Temeke 5, Ubungo 5, na  Kigamboni 5 hata hivyo watumishi ambao wamepata pikipiki na wana leseni ya kuendesha pikipiki ni 14 kati ya 24

Mwisho ifahamike kuwa Mkoa wa Dar es Salaam unaowafugaji wengi hususani ufugaji wa kisasa hivyo kupatikana kwa vitendea kazi hivyo kukwenda kuinua sekta hiyo muhimu kwa masilahi mapana ya mtu mmoja mmoja na Taifa kwa Ujumla

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa