• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akabidhi Magari Mawili kwa Wakuu wa Wilaya ya Ubungo,Kigamboni na Gari moja kwa Golikipa wa Taifa Stars

Posted on: September 22nd, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amekabidhi magari mawili aina ya Land Cruiser Prado yaliyotolewa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kuwawezesha wakuu wa wilaya ya Kigamboni na Ubungo kuwafikia wananchi na kuwahudumia huku pia akikabidhi gari moja aina ya Crown kwa golikipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania Yakoub Suleiman kutokana na kazi nzuri aliyofanya kuzuia magoli kwenye mashindano ya CHAN

Akizungumza  Jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kukabidhi gari hizo hafla ambayo imefanyika katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkuu RC Chalamila amesema magari hayo yametolewa na Rais Dokta Samia ili wakuu wa wilaya waweze kuwafikia wananchi kwa urahisi kuwahudumia na kutatua changamoto za wananchi

Aidha Chalamila amemkabidhi Golikipa wa timu ya Taifa ya Tanzania Yakoub Suleiman gari aina ya Crown ikiwa ni ahadi aloyoitoa kwenye mchezo wa robofainali ya mashindano ya CHAN kati ya timu ya Taifa ya Tanzania na Morocco ambapo amesema licha ya kufungwa golimoja golikipa huyo alifanya kazi nzuri

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila ametumia hafla hiyo kuzitaka halmashauri zote za mkoa huo kuwa na timu za mpira zinazomilikiwa na Halmashauri na pamoja na kuwa na viwanja vya michezo mbalimbali ikiwemo ngumi ili michezo iwe ni fursa ya kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Wakili Albert Msando mara baada ya kupokea gari hiyo amemshukuru Rais kwa kuwawezesha kupata usafiri wa utakaosaidia kuwahudumia wananchi hivyo ameahidi kuimarisha huduma kwa wananchi huku Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Saad Mtambule akiahidi kuendelea kuimarisha michezo wilayani humo

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 24-28 NOVEMBA 20225 DAR ES SALAAM December 01, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Vyombo vya Habari ni Muhimili Muhimu kwa Taifa

    December 05, 2025
  • RC Chalamila Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Amana

    December 03, 2025
  • Rais Dkt Samia Suluhu Akutana na Wazee wa Dar es Salaam

    December 02, 2025
  • Rais DKT Samia Kuzungumza na Wazee wa Dar Disemba 2,2025

    December 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa