• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afungua Mkutano wa Mashrika yasiyo ya Kiserikali

Posted on: February 20th, 2025

 

-Ataka mashirika hayo kulinda amani ya taifa letu

-Amuagiza Katibu Tawala wa Mkoa Kufuatilia mashirika yote kujua utendaji wake wa kazi

-Asistiza umuhimu wa mashirika hayo kufanya kazi kwa kuzingatia utamaduni wa kitanzania

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 20,2025 amefungua Mkutano wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali ambayo yanafanya kazi ndani ya Mkoa huo katika ukumbi wa Maktaba Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

RC Chalamila akifungua mkutano huo amesema anatambua kazi nzuri inayofanywa na mashirika hayo kwa kushirikiana na Serikali hivyo ni muhimu kuendelea kulinda amani iliyoko ili kuendelea kufanya kazi hizo kwa uhuru na amani " Kamwe tusiige kinachofanywa nchi zingine kwa sababu amani ikitoweka hatuna Tanzania nyingine au Dar es Salaam nyingine  kila mmoja awe sehemu ya kulinda amani iliyoko" Alisema RC Chalamila.

Aidha RC Chalamila amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila kuhakikisha anafuatilia mashirika yote ambayo usajiri wake uko Dar es Salaam kujua utendaji wake wa kazi kwa kuwa Mkoa ndiyo una mashirika mengi zaidi ukilinganisha na mikoa mingine ya Tanzania kwa takwimu za sasa Mkoa una mashirika takribani 3030 hivyo ni vizuri kujua yanafanya nini kwa masilahi mapana ya ustawi wa watu wetu.

Sambamba na hilo Mkuu wa Mkoa ameyataka mashirika hayo kufanya kazi zake kwa kuzingatia utamaduni wa kitanzania ili yasiwe sehemu ya umomonyoko wa maadili na vitendo vingine viovu katika Taifa hususani katika Mkoa huu.

Mkutano unalenga kuboresha na kuimarisha ushirikiano kati ya mashirika hayo na Serikali pia kukumbushana sheria na miongozo mbalimbali ili kuwa na mashirika yenye tija kwa umma

Mwisho Mkutano huo umehudhuriwa na Katibu Tawala wa Mkoa Dkt Toba Nguvila, wataalamu wengine kutoka Sekretarieti ya Mkoa, wadau mbalimbali pamoja na viongozi wa mashirika yasiyo ya Kiserikali kutoka Wilaya zote za Mkoa huo yaani Ilala,Kinondoni, Ubungo, Kigamboni na Temeke

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa