• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Afungua Kongamano la Mawakili Wanawake Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Posted on: October 4th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Oktoba 4,2025 amefungua kongamano la mawakili wanawake lililoandaliwa na chama cha wanasheria Tanganyika (TLS) kwa kushirikiana na chama cha wanasheria wanawake  Tanzania (TWLA) katika ukumbi wa TLS Wakili House kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

RC Chalamila amepongeza Jukwa la mawakili wanawake (women Lawyers Forum) kwa kuwa kupitia jukwa hilo wanawake hupata fursa za kukutana, kujadili masuala mbalimbali ambayo yana athari za moja kwa moja katika taifa letu hasa kundi kubwa la wanawake nchini.

"Kongamano hili la tofauti ambalo lina umuhimu mkubwa sana kuelekea uchaguzi mkuu tarehe.29 Octoba 2025 ambapo haki na usawa wa kijinsia  na maendeleo ya taifa letu vinakwenda kuamuliwa na wananchi " Alisema RC Chalamila

Aidha RC Chalamila ameeleza mafanikio ya Serikali kwa kipindi cha miaka mitano ya uongozi ambapo amesema Serikali imeendelea kusema na kutenda katika kuimarisha nafasi ya mwanamke katika sekta za ushiriki wa uongozi, huduma za kisheria na mfumo wa haki kama vile uteuzi wa viongozi wanawake, uteuzi wa majaji Wanawake, na kuanzisha mifumo jumuishi ya Haki.

Vilevile RC Chalamila amesema amefahamishwa kuwa bado kuna changamoto ambazo wanawake ambao ni sehemu ya TLS, TAWLA na jamii kwa ujumla wanazipitia hivyo amewahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuwa mshirika wao mkuu ili kuhakikisha mazingira salama na yenye usawa wa kijinsia, ambapo amewasihi TLS na TAWLA kuendelea kuwa nguzo imara ya ushirikiano, muunganisho naushawishi kwa serikali, jamii na taasisi za kimataifa ili kuleta chachu ya kimaendeleo nchini

Kongamano hili ni fursa ya kuimarisha mapambano, kuunda mitandao mipya na kujiimarisha kimaadili na kivitendo akisisitiza RC Chalamila

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 29 DISEMBA - 02JANUARI 2026 MKOA WA DSM January 05, 2026
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Afika 'Site' Block D, Kunduchi Kutatua Mgogoro wa Nyumba ya Mama Mjane

    January 07, 2026
  • Naibu Waziri wa Nchi OWM-TAMISEMI Mhe Kwagilwa Ahitimisha Ziara ya Kikazi Dar

    January 03, 2026
  • RC Chalamila " Tuendelee Kudumisha Amani Tunaposherekea Sikukuu ya Mwaka Mpya 2026"

    December 31, 2025
  • Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

    December 29, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa