• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS Nguvila Afungua Mafunzo ya Risk Champions Mkoa wa Dar es Salaam

Posted on: May 23rd, 2024

 

 -Aelezea malengo mahususi ya Sera ya vihatarishi

-Ainisha majukumu ya Katibu Tawala Mkoa, Mratibu wa Usimamizi wa Vihatarishi, Wakuu wa Sehemu na Vitengo, Mabingwa wa Vihatarishi, Ukaguzi wa Ndani na Wafanyakazi wote 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Toba A. Nguvila amefungua mafunzo ya Risk Champions Mkoa wa Dar es Salaam Leo tarehe 23 Mei, 2024 katika Ukumbi wa DMDP- Ilala kwa kusema Usimamizi wa Vihatarishi unahusiana na Utamaduni, Taratibu na Miundo inayoelekezwa kwenye usimamizi madhubuti wa fursa zinazowezekana na athari za mazingira ya kiutendaji katika Sekretarieti ya Mkoa wa Dar es Salaam

Dkt. Nguvila ameelezea malengo mahususi ya Sera ya Usimamizi wa Vihatarishi kuwa ni:- -Kuwasilisha dhamira ya Sekretarieti katika usimamizi wa Vihatarishi na kusaidia katika kufikia malengo yake kimkakati na kiutendaji, -kurasimisha na kuwasilisha mbinu thabiti ya Kudhibiti hatari kwa Shughuli zote za Sekretarieti na kuanzisha utaratibu Mzuri wa utoaji wa taarifa, -Kuhakikisha kwamba hatari zote kubwa za Sekretarieti zinatambuliwa, kutathminiwa, kudhibitiwa na kutolewa taarifa, -kuweka uwajibikaji kwa wafanyakazi wote kwa ajili ya Usimamizi wa hatari katika maeneo yao na kuwataka watumishi wote watambue ya kwamba usimamizi wa Vihatarishi ni jukumu lao la msingi kiutendaji 

RAS Nguvila ameainisha majukumu ya *Katibu Tawala wa Mkoa* kuwa ni pamoja na kuweka Taratibu zinazofaa ili kusimamia utekelezaji wa Usimamizi madhubuti wa Sera ya vihatarishi, kubuni, kutekeleza na kuimarisha mfumo wa Usimamizi wa vihatarishi. *Mratibu wa Usimamizi wa Vihatarishi* anafanyakazi ya kumsaidia Afisa Masuuli hivyo wajibu wa kuratibu Juhudi katika kubuni mfumo wa Usimamizi wa Vihatarishi katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kwa Shughuli za kila siku zinazohusiana na kuratibu, kudumisha na kufanya mfumo uweze kufanya kazi ndani ya Mkoa wa Dar es Salaam *Wakuu wa Sehemu na Vitengo*(Wamiliki wa Vihatarishi) Kudhibiti Vihatarishi katika maeneo yao, kupitia orodha na kuhuisha taarifa ya vihatarishi Mara kwa Mara na utayarishaji wa taarifa za robo mwaka za utekelezaji za utekelezaji wa udhibiti wa hatari *Mabingwa wa Hatari*(Risk Champions) Hawa hufanyakazi ya Kudhibiti Vihatarishi katika Sekretarieti sambamba, kuandaa na kuhuisha rejista ya vihatarishi vya Idara na kufanya mapitio ya Mara kwa Mara kwa Vihatarishi katika miradi ya maendeleo *Ukaguzi wa Ndani* kutathmini ufanisi wa Shughuli za usimamizi wa Vihatarishi katika kuhakikisha kwamba hatari kuu zinazoikabii Sekretarieti zinadhibitiwa ipasavyo na kuzingatia kazi ya Ukaguzi wa Ndani juu ya hatari kubwa Kama inavyotambuliwa na usimamizi *Wafanyakazi wote* watakuwa na jukumu la kutambua hatari na kutoa taarifa ya vihatarishi kwa sehemu na Kitengo kinachohusika. Inapowezekana wanapasw pia Kudhibiti hatari hizi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa