• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS MHINTE ASISITIZA MAMBO MATATU KUZINGATIWA NA SEKRETARIETI YA MKOA, WAKURUGENZI NA WAKUU WA SEHEMU NA VITENGO WA HALMASHAURI

Posted on: August 18th, 2025

 

-Ukusanyaji wa Mapato

-Kuzingatia Maslahi ya Watumishi

-Uhamasishaji uendelee wa watu kujitokeza kwa wingi kupiga kura Oktoba 29

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndg. Abdul Rajabu Mhinte ameyaseme hayo Leo tarehe 18 Agosti, 2025 katika kikao chake na Wakuu wa Sehemu na Vitengo kutoka Sekretarieti ya Mkoa, Wakurugenzi na Wakuu wa Sehemu na Vitengo kutoka Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam  kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjeee Hall

Mosi, RAS Mhinte amesisitiza suala la Ukusanyaji wa Mapato ambapo amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa huo kuweka nia thabiti katika hili ili kufikia malengo yaliyowekwa na hata kuyavuka. *"Hili ni jukumu la msingi kabisa linalotupa nguvu ya kuendelea  kuwahudimia wananchi"* Alisisitiza RAS Mhinte

Pili, Katibu Tawala Aliwasihi Viongozi hao kuzingatia Maslahi mbalimbali ya Watumishi ambapo alisema sisi  Viongozi wajibu  wetu Mkubwa ni kwenda kuwahudimia vema watumishi wetu. Mambo ya madai mbalimbali ya watumishi yaendelee kushughulikiwa ikiwa ni pamoja na kumalizwa kabisa ili nao wajisikie wako kazini na kutimiza wajibu wao ipasavyo, vile vile  tuwapime utendaji kazi wao kwa wakati sahihi ili nao wapate Stahili zao husika

Tatu RAS Mhinte amepongeza wingi wa watu uliojitokeza kwenda kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura na akasisitiza hamasa zaidi ziendelee kufanyika ili watu wajitokeze kwenda kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025

Ikumbukwe kuwa katika kikao hicho Cha Robo ya Nne ya Mwaka 2025, mambo mengi mazuri yalijadiliwa na kufikia muafaka na kilichobakia ni utekelezaji

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RAS MHINTE ASISITIZA MAMBO MATATU KUZINGATIWA NA SEKRETARIETI YA MKOA, WAKURUGENZI NA WAKUU WA SEHEMU NA VITENGO WA HALMASHAURI

    August 18, 2025
  • Halmashauri Dar, Zatakiwa Kutumia Jeshi la Akiba.

    August 15, 2025
  • Wabunge wa Bunge la Taifa Korea Watembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam.

    August 12, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Mabanda ya Maonesho ya Nanenane Kanda ya Mashariki 2025

    August 06, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa