• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RAS MADENGE " MAMA AKIWEZESHWA SEHEMU KUBWA YA TAIFA IMEWEZESHWA"

Posted on: November 16th, 2022

 

Katibu Tawala Mkoa  Bi Rehema Madenge aliyeketi wa pili kulia akiwa na Maafisa Maendeleleo wa Halmashauri baada ya kufunga mafunzo ya viongozi wa Majukawaa ya Uwezeshaji wanawake kiuchumi


Katibu Tawala Mkoa  Bi Rehema Madenge aliyeketi wa pili kulia akiwa na Viongozi wa Majukwaa baada ya kufunga mafunzo hayo

-Awataka Viongozi wa majukwa ya Uwezeshaji wanawake kiuchumi DSM kushuka hadi ngazi ya Kata na mitaa kutoa elimu ya Ujasiriamali kwa wanawake

-Aagiza Maafisa maendeleo ya jamii katika Halmashauri kuwasaidia wanawake kutumia fursa ya mikopo ya 10%

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Bi Rehema Madenge amesema Mama akiwezeshwa Kiuchumi Sehemu kubwa ya Taifa imewezeshwa kwa kuwa akina mama ndio wanaosimamia familia kwa sehemu kubwa hakuna mama anayeweza kutekeleza familia yake, mama ni nguzo, hata hivyo kwa mujibu wa Sensa 2022 imeonyesha wanawake ni wengi zaidi kuliko wanaume hivyo ni wakati muafaka wa Wanawawake kujikwamua Kiuchumi kwa Masilahi mapana ya jamii na Taifa

Katibu Tawala Mkoa ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya Viongozi wa Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ilala Boma.

Aidha amewataka Viongozi wa Majukwaa ya Kuwezesha wanawake kiuchumi kushuka katika ngazi za Kata na Mitaa kuwajengea uelewa wanawake kutumia fursa zilizoko ili kukuza Uchumi wao na jamii kwa Ujumla.

Vilevile ameelekeza Maafisa maendeleo ya jamii katika Halmashauri kutumia maarifa waliyonayo kuwasaidia wanawake kukuza kipato hususani kutumia fursa ya mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri za Manispaa Katika maeneo yao.

Ifahamike kuwa uhuishaji wa majukwaa ya Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi Mkoa wa Dar es Salaam umeshaanza wanawake watumie fursa hiyo kujiandikisha fomu zinapatikana katika Kata zote za Mkoa wa DSM

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa