• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Akabidhiwa Ofisi Rasmi

Posted on: July 9th, 2025

 


-Amshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa imani yake kwake.

-Aahidi kuendeleza yale yote mazuri ya mtangulizi wake Dkt Toba Nguvila.

-Dkt Toba Nguvila ataka Sekretarieti ya Mkoa kumpa zaidi ushirikiano Katibu Tawala Bwana Abdul Mhinte.

Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam  Dkt Toba Nguvila amemkabidhi rasmi ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa huo bwana Abdul Rajab Mhinte leo Julai 9,2025 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ilala Boma Jijini Dar es Salaam.

Akiongea wakati wa Makabidhiano hayo yaliyohudhuriwa na Sekretarieti ya Mkoa, Wakurugenzi wa Halmashauri zote tano, Makatibu Tawala wa Wilaya  na maafisa Tarafa, Dkt Toba Nguvila amemshukuru Rais Dkt Samia kwa kumuamini na kumpatia nafasi ya Katibu Tawala wa Mkoa na kisha kuridhia ombi lake la kwenda kuanza mchakato wa kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Makete, vilevile ameshukuru Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila kwa ushirikiano aliokuwa akimpatia katika kipindi chote alichohudumu pamoja na ushirikiano alioupata kutoka kwa watumishi wote wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo ametoa rai ushirikiano huo uendelee tena zaidi kwa Katibu Tawala mpya bwana Abdul Mhinte.

Aidha Dkt Toba Nguvila amesema yako mengi sana ya kukabidhiana kwa kifupi amempitisha maeneo kadha ya kufanyia kazi kama vile Ujenzi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa, maandalizi ya uzinduzi wa soko la Kariakoo, mfuko wa barabara ya Mkoa wa Dar es Salaam, Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mkoa Kigamboni, Biashara saa 24 pamoja vikao vya robo vinavyohusisha taasisi za umma katika Mkoa huo.

Vilevile Dkt Toba Nguvila amesema makabidhiano hayo ni ya kawaida katika utumishi ambapo alitoa historia yake kwa ufupi hivyo kubadilisha vituo ni jambo la kawaida anachomba kwa watumishi wote ni kuendelea kumuombea dua ili afikikie matamanio ya dhamira yake ya kuwatumikia wananchi wa Jimbo la Makete Mkoa wa Njombe.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa bwana Abdul Rajab Mhinte  baada ya kukabidhiwa ofisi ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii tena kwa ushirikiano mkubwa na wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na watumishi wote ili kwenda sambamba na dhamira ya Mhe Rais Dkt Samia ya Kuwaletea Wananchi Maendeleo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Wataalam Kuja na Suluhu ya Msongamano wa Magari Dar

    July 11, 2025
  • Mkoa wa Dar es Salaam Kuendelea kuweka Mazingira Bora na Rafiki ya Biashara na Uwekezaji.

    July 10, 2025
  • Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam Akabidhiwa Ofisi Rasmi

    July 09, 2025
  • RC Chalamila Akutana na Viongozi wa Dini - DSM

    July 08, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa