• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Jiji DSM Yaongoza Kufanya Vizuri Katika eneo La Afya

Posted on: November 4th, 2021

 

- Ni baada ya kufanya tathimini ya viashiria vya utoaji huduma BORA za Afya katika Mkoa.

- Tuzo zote mbili za utoaji huduma BORA wa Afya zanyakuliwa na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeongoza katika kufanya vizuri eneo la Afya kufuatia tathimini iliyofanyika ya kupima viashiria vya utoaji huduma BORA za Afya katika Mkoa wa Dar es Salaam

Mkutano wa mwaka wa tathimini hiyo ya huduma za Afya umekuwa na lengo la kuona hali ya utoaji huduma za Afya na kuweka mikakati ya kuboresha zaidi huduma hizo katika hospitali za rufaa za Mkoa Mwananyamala, Temeke na Amana pamoja na vituo vya afya na Zahanati.

Kupitia tathimini iliyofanyika baadhi ya vigezo vilivyokuwa vinashindanishwa ni *Utoaji wa huduma bora ya mama na mtoto, Utawala na Fedha, utoaji wa dawa, Mahabara, Vifaa tiba, Mazingira bora, lishe na Ustawi wa Jamii

Tathimini hiyo katika nyanja ya CHMT ilionyesha Ilala Kushinda na kujipatia tuzo ya kwanza na ya pili ni upande wa Hospitali za Rufaa ambapo Amana imefanya Vizuri na kujinyakulia tuzo ya pili.

Akiongea wakati wa kukabidhi Tuzo hizo kwa washindi wa utoaji huduma BORA za Afya Mgeni rasmi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Ng'wilabuzu Ludigija* amepongeza utaratibu unaofanywa na Mkoa wa kuwa na tathimini ya mwaka na kupanga mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma BORA za Afya katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Mhe Ludigija amewataka wataalam wa Afya kuelewa kuwa ushindi walioupa Halmashauri ya Jiji hauna maana Wilaya zingine zinatoa huduma mbovu hiyo sio, bali yako maeneo Halmashauri ya Jiji inawazidi wengine, hivyo hiyo iwe fursa ya kuja kujifunza katika Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.

Aidha Amewataka kuboresha huduma za utoaji afya kwa wazee katika Hospitali na vituo vya afya DSM kwa kuwa kundi hilo linachangomoto kubwa ya uhitaji wa huduma bora za Afya.

Kwa Upande wa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Utumishi Bwana Lawrence Malangwa amewapongeza na kuwataka kuendelea na utaratibu wa kufanya tathimini ya utoaji huduma bora na kupanga mikakati ya kuboresha pale panapoonekana kulegalega kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa