• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

GNM Cargo Wamuunga Mkono RC Makalla Katika Kampeni Endelevu ya Usafi DSM

Posted on: November 30th, 2021

- Wamkabidhi Vifaa vya kuzolea TAKA pamoja na fyekeo " Slasher"

Katika Kuunga mkono Kampeni ya Mkuu wa Mkoa wa DSM Mhe Amos Makalla ya SAFISHA, PENDEZESHA DAR ES SALAAM Kampuni ya GNM CARGO imemkabidhi RC Makalla vifaa vya kuzolea taka na mafyekeo kwa lengo la kuongeza NGUVU katika kufanikisha kampeni hiyo.

Akiongea wakati anakabidhiwa Vifaa hivyo RC Makalla amewashukuru kwa GNM kuwa wadau wa kwanza kuotoa mchango wao toka azindue Mkakati wa Usafi na Uhifadhi wa Mazingira DSM

RC Makalla amesema mpango huu wa USAFI ni endelevu jamii itambue usafi unaanza na mtu binafsi, Kaya na hatimaye usafi wa pamoja ambao Utafanyika mara moja kila mwisho wa mwezi kuanzia saa 12:00 hadi 3:00 Asubuhi.

Aidha RC Makalla ameendelea kutoa rai kwa wadau wengine kuiga mfano wa GNM CARGO kuunga mkono Kampeni ya SAFISHA PENDEZESHA DAR ES SALAAM

"Dar es Salaam ni Mkoa Mkubwa ambao ni lango lakini pia kuna wawekezaji wengi na fursa nyingi hivyo ni vema kuweka Mkoa safi na Mandhari nzuri ya kuvutia" Alisema RC Makalla

Kwa Upande wa Afisa masoko GNM Ndg Amin Mahava amemhakikishia RC Makalla kuendelea kushirikiana na Ofisi yake kwa maslahi mapana ya Wananchi wa DSM pia amemkabidhi Tishet 2 kwa ajili ya Mazoezi

USAFI UNAANZA NA WEWE, SHIRIKI UZINDUZI WA KAMPENI YA USAFI WA PAMOJA DISEMBA 4, 2021 KIVUKONI-ILALA DSM


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa