• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dkt Samia Suluhu Hassan Kufanya Mikutano ya Kampeni Siku 3 Kuanzia Oktoba 21,2025

Posted on: October 20th, 2025

Mgombea Urais wa Jamhuri ua Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya mikutano ya kampeni jijini Dar es salaam kuanzia oktoba 21 hadi oktoba 23 mwaka huu ikiwa ni katika kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais Wabingu na Madiwani unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025
Akizungumzia ujio wa mgombea huyo ambaye ni Rais wa Jamhuri ua muungano wa Tanzania, RC Chalamila amesema mgombea huyo anatarajia kufanya kampeni kwenye viwanja vya Leaders Club,viwanja vya TANESCO- Temeke na viwanja vya kinyerezi jijini humo hivyo amewataka wananchi kujitokeza ili kisikiliza sera za mgombea huyo
Aidha Chalamila amewahakikishia wananchi wa Mkoa huo kuwa ni salama na utaendelea kuwa salama katika kipindi chote cha kampeni,wakati wa uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi, hivyo amewataka wananchi kushiriki shugjuli zote za uchaguzi na kujitoleza kupiga kura Oktoba 29 bila kuhofia vitisho vya aina yoyote.
Hata hivyo RC Chalamila amezungumzia changamoto za upungufu wa maji kwenye mkoa  huo ambapo amewatoa shaka wananchi kuwa hatua zinazochukuliwa na Serikali kwa sasa changamoto hiyo inakwenda kupata suluhisho la kudumu ambapo tayari zimenunuliwa mashine mpya za kusukuma maji pia amezungumzia bwawa la kidunda ambalo litamaliza kabisa changamoto ya maji katika Mkoa huo
Sanjari na hilo RC Chalamila amezungumzia suala la umeme kwenye mkoa  huo ambapo amesema upatikanaji wa umeme umeimarika na kwamba Serikali inaendelea na mchalato wa kukabiliana na changamoto ya mafuriko kwa kujenga madaraja ya Jangwani, Kigogo na Mkwajuni pamoka na madaraja ya geti jeusi na nguva yaliopo kigamboni
Hata hivyo RC Chalamila amezungumzia kuimarika kwa usafiri wa mwendokasi jijini humo ambao kwa sasa  Serikali imeamumua kufanya kazi na sekta binafsi ambapo amepiga marufuku kwa daladala bajaji na bodaboda kupita kwenye njia ya mwendolasi ili kiruhusu usafiri huo kutimiza lengo lililokisudiwa la kuwa usafiri wa Haraka

Matangazo

  • DIRA YA TAIFA YA MAENDELEO 2050 July 17, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA MOCK MKOA WA DARASA LA SABA MEI, 2025 July 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MWANAFUNZI ALIYEADHIBIWA-MAKUMBUSHO SEKONDARI September 23, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt Samia Suluhu Hassan Kufanya Mikutano ya Kampeni Siku 3 Kuanzia Oktoba 21,2025

    October 20, 2025
  • RC Chalamila Arudisha Tabasamu kwa Mjane Bi Alice Haule.

    October 20, 2025
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akutana na Makundi Maalum - DSM

    October 17, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Miundombinu ya TANESCO-DSM

    October 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa