• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

Posted on: December 29th, 2025

 

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba ameridhia ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B, Kata ya Mabwepande Wilaya ya Kinondoni Mkoa wa Dar es Salaam ambapo ujenzi huo utagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 2.3.

Akiongea wakati wa ziara aliyoifanya leo Disemba 29, 2025 wakati akitembelea Soko la Bunju B pamoja na kusikiliza kero mbalimbali za Wananchi, waziri Mkuu amesema kuwa amepokea wazo la uhitaji wa ujenzi wa Kituo cha daladala na ameahidi kuwa hitaji la fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2.3 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa stendi hiyo haraka itapatikana.

"Nakubaliana nanyi na naunga mkono ujenzi wa Stendi hii kwani itakwenda kuongeza kasi na mzunguko wa Biashara katika eneo hili la Bunju B" Alisema Dkt Mwigulu.

Sanjari na hilo amesisitiza kuwa kituo hicho cha daladala ujenzi wake utakwenda sambamba na miundombinu ya Barabara, Soko na Maduka ili kuwa na mzingira rafiki ya Kibiashara ambayo yatapelekea kuinua kipato cha mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumala na ndiyo dhamira ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 15-19 DESMBA 2025 DSM December 15, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt Mwigulu Nchemba Aunga Mkono Ujenzi wa Kituo cha Daladala Bunju B

    December 29, 2025
  • RC Chalamila Ashiriki Ibada ya Sikukuu ya Christmas Usharika wa KKKT Kimara Korogwe

    December 25, 2025
  • Ziara ya Naibu Waziri OWM-TAMISEMI MHE Reuben Kwagilwa Dar

    December 22, 2025
  • RC Chalamila Vyombo vya Habari ni Muhimili Muhimu kwa Taifa

    December 05, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa