• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

DC Kisare Makori : Tunathamini Wauguzi wetu ndio maana tunaadhimisha siku ya leo

Posted on: May 12th, 2018

Maadhimisho ya siku ya Wauguzi Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yameadhimishwa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo katika Hospitali ya Sinza Palestina Jijini Dar es salaam.

Mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda ambaye aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori

Sherehe za maadhimisho hayo huendana na kumbukizi ya Muasisi wa uuguzi Duniani Frorence Nightingale ambaye ndiye kielelezo cha utumishi wa Uuguzi.

Chama cha wauguzi Tanzania tawi la Dar es Salaam kimeungana na waunguzi wengine ndani na nje ya Tanzania kuadhimisha siku ya leo tarehe 12/05/2018 katika hospitali ya Sinza Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.

Sherehe hizo zimepambwa na Maandamano ya wauguzi wa Halmashauri za Manispaa tano yaani Ilala, Kinondoni, Temeke, Kigamboni na mwenyeji Ubungo.

Pia kulikuweko na maonesho ya utoaji wa huduma mbalimbali za kiafya kama vile upimaji wa UKIMWI, Uzito, na Magonjwa meningine mfano kisukari.

Wauguzi walipata fursa ya kumueleza mgeni rasmi mafanikio na changamoto wanazokutana nazo kila siku wanapotekeleza majukumu yao ya kiuguzi.

Zipo changamoto zilielezwa mfano Uhaba wa watumishi katika fani ya uuguzi, kutokupatikana kwa stahiki zao kama posho za masaa ya ziada lakini pia usalama mahali pa kazi na kazalika.

Mgeni rasmi alisikiliza mafanikio na changamoto za wauguzi na kutoa pongezi kwa kuwa wanachapa kazi vizuri na kuwahaidi Serikali ya awamu ya tano  inawathamini wauguzi wake na  ndio maana tayari imeshatoa kibali cha kuajiri watumishi katika sekta ya afya bila kusahau kwa kadiri uchumi utakavyoimarika ataongeza mishahara minono.

Kwa Mkoa wa Dar es Salaam mgeni rasmi amewaagiza Wakuu wa Wilaya wote na Wakurugenzi kuhakikisha wanatatua changamoto zinazowakabili Wauuguzi.

Aidha Mgeni Rasmi Mhe Kisare Makori kwa kuthamini umuhimu wa maisha bora kwa wauguzi wa Mkoa wa Dar es Salaam ameongoza harambee na kufanikisha kukusanya ahadi ya kiasi cha Tsh 4,050,000 kwa ajili ya kutunisha mfuko wa Saccos ya Wauguzi huku ofisi yake ya Wilaya ikihaidi kutoa Tsh 1,000,000

Naye Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg John Lipesi Kayombo hakuwa nyuma akahaidi kuchangia Tsh 1,000,000 kwa ajili ya Kutunisha mfuko wa Saccos hiyo yenye lengo la kuboresha maisha ya wauguzi.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ukatili Kinara Migogoro inayohitaji Msaada wa Kisheria-Waziri Mkuu

    June 16, 2025
  • Wananchi Dar Kunufaika na Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia

    June 14, 2025
  • RC Chalamila, Samia Legal Aid Kuzinduliwa Juni 16, 2025 DSM

    June 13, 2025
  • Wataalam Kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Wakutana na Kamati ya Usalama ya Mkoa-DSM

    June 11, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa