• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Maadhimisho ya Sherehe za Uhuru

Tuesday 3rd, June 2025
@Uwanja wa Jamhuri - Dodoma

YALIYOJIRI LEO NOVEMBA 24, 2017 KATIKA MAHOJIANO MAALUMU NA WAZIRI WA NCHI - OFISI YA WAZIRI MKUU, JENISTA MHAGAMA KUHUSU MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA UHURU.

#Nchi yetu itaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara mnamo Disemba 9 mwaka huu - Waziri Jenista Mhagama.

#Maadhimisho hayo kitaifa yatafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma -Waziri Jenista Mhagama.

#Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli - Waziri Jenista Mhagama.

#Shughuli zinazotarajiwa kufanyika siku hiyo ni maonesho ya gwaride la heshima lililoandaliwa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama nchini - Waziri Jenista Mhagama.

#Shughuli zingine ni onesho la Kikosi cha makomando na kwata ya kimyakimya kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania - Waziri Jenista Mhagama.

#Kutakuwa na onesho la Gwaride la Mkoloni kutoka Jeshi la Polisi pamoja na Gwaride la wanafunzi wa shule  za Sekondari Dodoma - Waziri Jenista Mhagama.

#Itakuwa ni mara ya kwanza Onesho la Gwaride la Mkoloni kufanyika Tanzania Bara - Waziri Jenista Mhagama.

#Vile vile kutakuwa na burudani za vikundi vya ngoma za asili kutoka Ruvuma, Kigoma na Zanzibar pamoja na vikundi vya kwaya kutoka Chunya, Mbeya - Waziri Jenista Mhagama.

#Pia kutakuwa na burudani ya muziki wa kizazi kipya ikiwemo kikundi cha Tanzania All Stars - Waziri Jenista Mhagama.

#Kauli mbiu ys sherehe hizi ni "UHURU WETU NI TUNU: TUUDUMISHE, TULINDE RASILIMALI ZETU, TUWE WAZALENDO,TUKEMEE RUSHWA NA UZEMBE". - Waziri Jenista Mhagama.

#Natoa wito kwa wananchi wote kusheherekea siku hii kwa kudumisha amani, upendo,umoja na mshikamano kwa maendeleo ya nchi yetu - Waziri Jenista Mhagama.

#Maadhimisho hayo yataanza saa 12:00 asubuhi hivyo nachukua nafasi hii kuwakaribisha wananchi wa Dodoma na mikoa ya karibu kujitokeza kwa wingi kusherehekea kwa pamoja kumbukumbu ya uhuru wa nchi yetu - Waziri Jenista Mhagama.

IMEANDALIWA NA IDARA YA HABARI - MAELEZO.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Temeke Yang'ara Mwenge wa Uhuru 2025

    June 02, 2025
  • RC Chalamila: Miradi 36 yenye Thamani ya Tsh 79,255,160,719.44 Kupitiwa na Mwenge wa Uhuru Dar

    June 01, 2025
  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa