• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Ushirika

Vyama vya Ushirika

Vyama vya Ushirika huanzishwa na kuandikishwa kwa kuzingatia Sheria ya Ushirika ya Mwaka 2003. Mkoa una jumla ya Vyama vya Ushirika 879 vilivyoandikishwa vikiwemo Vyama vikuu vya Ushirika (Unions) vitatu (3) ambavyo ni Chama Kikuu cha Ushirika cha Mazao (DARECU), Chama Kikuu cha Viwanda (TICU) na Chama Kikuu cha Akiba na Mikopo (SCCULT) Ltd. Pia kuna vyama vitano (5) vya Ubia (Joint Venture Enterprises).

  • DARECU ni Chama Kikuu cha Ushirika cha mazao ambacho kazi yake ni kununua mazao ya wakulima na kusambaza pembejeo kwa kushirikiana na Vyama vya Msingi 23 ambavyo ndio wanachama wa Chama hiki.


  • SCCULT (1992) LTD ni muungano wa Vyama vya Akiba na Mikopo Tanzania, kazi yake ni kutoa ushauri na kuvisaidia Vyama vya Msingi vya Akiba na Mikopo katika kupata mitaji na mafunzo.


  • Vyama vya Ubia (Joint Venture Enterprises) ni Muungano wa Vyama vya Ushirika vya Kibiashara katika maeneo ya Masoko. Kazi ya vyama hivi vya Ubia ni kuwasaidia wafanyabishara kupata elimu ya biashara na mitaji


  • SACCOS ni Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo ambavyo vinatoa huduma ya mikopo kwa Wanachama katika kupata mitaji ya kuendeshea biashara mbalimbali na kutatua matatizo ya kijamii na kiuchumi.

Hadi kufikia mwezi Desemba 2013, Mkoa ulikuwa na jumla ya Vyama vya Ushirika vya Msingi 871 vilivyo andikishwa kisheria; ambapo Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) ni 662, Vyama vya mazao (korosho) 23, na Vyama 186 vya aina nyingine kama vile ujenzi wa Nyumba, Viwanda, Biashara, Usafiri na Uvuvi.

Hali ya Vyama (Wanachama, Hisa, Akiba na Mikopo) Wanachama :

Vyama vya Ushirika hapa Mkoani vina jumla ya wanachama 208,233 hadi mwezi Desemba 2013, kati yao, SACCOS zina wanachama 193,930.

Hisa, Akiba na Mikopo

Wanachama katika SACCOS wamenunua Hisa zenye thamani ya Shilingi Bilioni 10.8, pia wameweka Akiba na Amana zenye thamani ya Shilingi Bilioni 108.67 hadi Desemba 2013. Mikopo iliyotolewa kwa wanachama hao hadi Desemba, 2013 ni ya thamani ya Shilingi Bilioni 226.5

Ukaguzi wa Mahesabu wa Usimamizi wa Vyama

Mkoa kupitia Maafisa Ushirika wake umeweza kufanya ukaguzi na usimamizi wa Vyama na kutoa ripoti kwa Wanachama wake kwa Vyama 352 kati ya Vyama vilivyo hai 652 hadi Desemba 2013 sawa na asilimia 54.% ya Vyama ambavyo ni hai.

Moja ya jengo la chama cha ushirika -WANAMA SACCOS





Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa