• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Taarifa ya Vitambulisho vya Wafanyabiashara Wadogo na Watoa Huduma Wadogo

TAARIFA YA VITAMBULISHO VYA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WATOA HUDUMA WADOGO.

Vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo na watoa huduma wadogo ni vitambulisho vinavyotolewa kwa walengwa kupitia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli. Vitambulisho hivi vinatolewa vikiwa na lengo la kuwapatia utambulisho wafanyabiashara wadogo na watoa huduma wadogo katika biashara wanazozifanya na kuweza kutatua changamoto zao. Hii ikiwa ni pamoja na fursa ya kufanya biashara bila kubughudhiwa, kutambulika na watoa huduma  wengine kama Taasisi za kifedha.

Walengwa haswa wa vitambulisho hivi ni wafanyabiashara wadogo wanaofanya biashara zenye patoghafi chini ya shilingi milioni nne.

Programu hii ya ugawaji wa vitambulisho kwa wafanyabiashara wadogo ilianza kutekelezwa mwaka jana 2019 ambapo lengo lilikuwa kuwafikia walengwa 376,000 ambao ni wafanyabiashara wadogo na watoa huduma wadogo Mkoani Dar es Salaam. Zoezi limefanikiwa ambapo mpaka sasa hivi walengwa 211,306 wameweza kufikiwa na kugawiwa vitambulisho hivyo ndani ya kipindi hiki. Zoezi hili bado linaendelea kufanyika katika Ofisi za Manispaa zote za Mkoa pamoja nao Ofisi za Watendaji wa Kata.

Fursa mbalimbali zimeweza kupatikana kwa wafanyabiashara wadogo kupitia zoezi hili la ugawaji wa vitambulisho ambapo mpango huu umewawezesha wafanyabiashara wadogo na watoa huduma wadogo kutambulika na kupata mikopo kwa kutumia vitambulisho vyao.

Kupitia ugawaji wa vitambulisho hivi vya wafanyabiashara wadogo kwa mwaka huu wa 2020, Mkoa unatarajia kuwajengea uwezo wafanyabiashara wadogo kwa kuwapa elimu na kuwaunganisha na fursa mbalimbali ili kuweza kukua kifikra, mitaji, kipato na hatimae kuweza kukidhi vigezo vya kulipa kodi na kuchangia pato la Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Vilevile upo mkakati wa kuzifikia Taasisi nyingi zaidi za kifedha ili kukipa thamani zaidi kitambulisho hiki na kiweze kutumika kama dhamana ya kupata mitaji kwa njia ya mikopo.

                                      

Matangazo

  • FOMU YA KUHUISHA MAJUKWAA YA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI DSM November 09, 2022
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Ratiba ya Mtihani wa Kumaliza Kidato cha Sita (ACSEE) - 2020 June 12, 2020
  • Matokeo ya Uchaguzi wa Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Kwanza 2021 Shule za Sekondari za Serikali December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Makalla Masoko Mapya Yatakayojengwa Washirikishwe Machinga na Viongozi wa Soko

    March 11, 2023
  • RC Makalla Aeleza Kishindo Cha Rais Dkt Samia Suluhu Miaka 2 DSM

    March 10, 2023
  • RC Makalla Atimiza ahadi ya Kuwapeleka Viongozi wa Machinga Taifa Kigali Rwanda

    March 10, 2023
  • RC Makalla Hakuna Fremu Soko la Kariakoo Zilizogawiwa Epukeni Matapeli

    March 26, 2023
  • Tazama zote

Video

RC Makalla akikagua Maendeleo ya Ujenzi na ukarabati wa Soko la Kariakoo
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa