• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Taarifa ya Utekelezaji wa Katazo la Mifuko Milaini ya Plastiki Katika Mkoa wa Dar es Salaam kwa Mwak

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA KATAZO LA MIFUKO MILAINI YA PLASTIKI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM KWA MWAKA 2021.

UTANGULIZI 

Mkoa wa  Dar es Salaam una jumla ya Wilaya tano za Utawala ambazo ni Ilala Kinondoni  , Kigamboni  Temeke na Ubungo na Mkoa una jumla ya Halmashauri 5 ambazo ni Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam na Manispaa za Kinondoni , Kigamboni , Temeke na Ubungo  ambazo zina wakazi wanakadiriwa  kuwa 5.2 m kwa mwaka 2020 na  ongezeko la watu la asilimia 4.6 kwa mwaka .

Kazi ya kutoa Elimu ya kuacha Matumizi ya Mifuko  milaini kama vibebeo.

Baada ya Tamko la Waziri la Tarehe 8 Januari 2021 Mkoa wa Dar es Salaam ulianza kutoa Elimu kwa wakazi na Wafanyabiashara kuacha kuzaliasha  kusambaza  kuuza na matumizi ya Mifuko milaini ya plastiki kama vibebeo bali itumike kama vifungashio.

Mkoa uliunda kikosikazi cha kutoa Elimu kwa wananchi na wafanyabiashara kwa kufanya ukaguzi katika masoko na maduka.

Mkoa ulikagua Mabucha ya kuuza nyama na samaki yapatayo 58 katika Manispaa ya Ubungo na Mabucha 105 katika Jiji la Dar es Salaam kwa kutoa elimu ya kuacha matumizi ya mifuko milaini kubebea Nyama .

Aidha Mkoa ulifanya ukaguzi na kutoa Elimu kwenye Masoko 22 katika masoko ya Mkoa katika Halmashauri zote tano kama inavyoonyeshwa hapo chini.

Kikosikazi kazi kilifanya ukaguzi katika Masoko ya mkoa kama ifutavyo 

Jina la Halmashauri 
Jina la Soko  lililokaguliwa.
Hali halisi 
Jiji la Dar es Salaam 
Buguruni , Ilala , Karikaoo , Vingunguti  Mchikichini (5)
Bado matumizi ya Mifuko milaini inatumika kubebea bidhaa za sokoni kama vile karoti , pilipili ,njegere  vitunguu n.k
Soko la Kariakoo ndio wazalishaji na wauzaji wa Roller za Kutengeneza Mifuko hii
Manispaa ya Ubungo 
Mburahati Manzese, Mabibo, Simu 2000 , Shekilango na Makaburini Sinza (6)
Matumizi ya Mifuko Milaini  yapo kwa kiasi kidogo kwa kufungia bidhaa za sokoni kama vile karoti , pilipili ,njegere  vitunguu n.k
Manispaa ya Temeke 
Temeke sterio , Tandika , Tazara na Mbagala rangi tatu (4)
Matumizi ya mifuko yapo kwa kutumika kama vibebeo katika Saoko la Mbagala na kufungia Barafu na ice cream
Manispaa ya Kinondoni 
Tandale , Mtambani , Magomeni , Tegeta na Makumbusho (5)
Matumizi ya Mifuko Milaini  yapo kwa kiasi kidogo kwa kufungia bidhaa za sokoni kama vile karoti , pilipili ,njegere  vitunguu n.k
Manispaa ya Kigamboni 
Soko la Ferry na Kwa Urassa (2)
Hakuna matumizi makubwa ya mifuko milaini na Masoko haya ni madogo sana
 


Elimu ilitolewa kwa wafanyabishara Bucha matumizi ya mifuko milaini kama vibebeo na itumike kwa mujibu ya maelekezo ya TBS

Aidha kila Manispaa imendelea na kutoa elimu na kufanya ukaguzi katika maeneo mbalimbali katika maeneo yao kama ifuatavyo

Jina la Halmashauri 
Eneo lilokaguliwa   
Hali halisi 
Jiji la Dar es Salaam 
Ukaguzi umefanyika katika soko la Kariakoo , Buguruni, Ilala na vingunguti na Mchikichini .Aidha ukaguzi umefanyika katika Kiwanda kinachozalisha mifuko hii eneo la gongo la mboto .
Matangazo ya gari yanapita mitaani kuwaarifu wananchi kuhusu katazo la mifuko milaini ya plastiki kama vibebeo.
Inakadiriwa jumla ya kilo 300 zimekamatwa katika kiwanda cha Gongo la Mboto na kiasi cha kgs 260 zimekusanywa katika masoko ya Mchikichini, Ilala  na Buguruni  Mifuko iliyokusanywa ipo makao Makuu ya Jiji  na Ofisi ya Kata Mchikichini  na Deport ya Mazingira Kamata .
Jumla ya faini ya  tshs 500,000 zimekusanywa  kwa Jiji
Manispaa ya Ubungo 
Elimu imetolewa kwenye masoko ya Mburahati, Mabibo, simu 2000 Manzese na Shekilango
Ukaguzi umefanyika na Jumla ya Kgs 8 katika soko la mabibo zimekusanywa pamoja na Faini ya kiasi cha Tshs 120,000 na Kgs 13.80 zimekusanywa Katika soko la Mbezi Msigani Pamoja na Faini ya tshs 130,000 ambapo plastiki zilizokusanywa  zimepelekwa NEMC.
Manispaa ya Temeke 
Matangazo yamefanyika kutumia magari kutoa elimu kwa wananchi kuacha matumizi ya mifuko milaini kama vibebeo
Ukaguzi umefanyika katika soko la Tandika mnamo tarehe 23.4.2021na jumla ya Kgs 204.22 na jumla ya faini ya tshs 160,000 zimekusanywa katika Manispaa ya Temeke.
Manispaa ya Kinondoni 
Ukaguzi umefanyika katika Maduka na Masoko ya Tandale, Mtambani na Maeneo ya Mwananyamala na Makumbusho
Ukaguzi uliofanyika  na Jumla ya kgs 9 zimekusanywa katika Soko la Tandale na  na kupelekwa NEMC
Mnamo tarehe 23.04.2021 umefanyika katika eneo la Tegeta na jumla ya kgs 2,500 zilikusanywa na faini ya tshs 560,000
Manispaa ya Kigamboni 
Maduka ya wafanyabiashara , soko la feri na soko dogo la kwa Urassa na wauzaji wa jumla na kwenye
Viwanda vya mikate
Jumla ya Kilo 6 za mifuko zimekusanywa ipo ofisi ya Mazingira. Ukaguzi ulifanyika tarehe 19.04.2021 na tarehe 23.04.2021
Jumla ya tshs

Hadi kufikia tarehe   30. 04. 2021 jumla ya Kgs 3,293.22 zimekusanywa na jumla ya faini ni tshs 1,740,000 zimekusanywa na kazi bado inaendelea  . Kiwanda cha RamsonMoris Company kinaendelea kufutiliwa ili kiweze kurekebisha kasoro na kulipa faini na kupima kiasi cha mifuko iliyokamatwa .

Nawasilishwa .

Valence V. Urassa

AFISA MAZINGIRA 

MKOA WA DAR ES SALAAM.

 

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa