• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Elimu
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Ilala MC
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Viwanda
    • Biashara
    • Utalii
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKONDA APOKEA TANI 405 ZA NONDO NA MIFUKO 500 YA SARUJI

Posted on: November 10th, 2017


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa PAUL MAKONDA leo amepokea zaidi ya Tani 405 za Nondo kutoka kiwanda cha AM Steel and Iron Mills Ltd na Mifuko ya Saruji 500 kutoka Mfuko wa Hifadhi ya jamii wa LAPF kwa ajili ya Ujenzi wa Ofisi 402 za Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari Dar es Salaam.

Nondo hizo zenye thamani ya zaidi ya Shillingi Million 150 zimetolewa kama utangulizi ambapo Kiwanda hicho kimesema kitatoa Nondo za kujenga ofisi zote 402 za Walimu.

Akipokea Nondo hizo RC MAKONDA ameshukuru kiwanda hicho kwa kuunga Mkono kampeni hiyo inayolenga kurejesha heshima kwa walimu na kuwapa morali ya kufanya kazi ili kuleta matokeo chanya kwa Wanafunzi.

Wakati huo huo Mfuko wa hifadhi ya Jamii LAPF umemkabidhi RC MAKONDA Kiasi cha Shillingi Million 5 kwa ajili ya kununua Mifuko 500 ya Saruji za Ujenzi wa Ofisi za Walimu.

RC MAKONDA amewahimiza Wananchi na wadau kuendelea kuchangia kampeni ya ujenzi wa Ofisi za walimu kupitia Saruji, Kokoto, Mchanga, Nondo Mbao, Milango, Madirisha na Bati ili kufanikisha kampeni hiyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Shekh SHAHID SALIM amesema watatoa kiasi chote cha mahitaji ya Nondo zinazohitajika kwa kuwa wanatambua umuhimu wa Walimu na kazi kubwa anayoifanya RC MAKONDA kwenye Mkoa wa Dar es Salaam.

Nae Meneja Masoko na Mawasiliano LAPF Bwana JAMES MLOWE amesema kuwa wameamua kumuunga mkono RC MAKONDA kwa kuwa fedha zinazotolewa kwake zinafanya kazi iliyokusudiwa.

Tayari kasi ya ujenzi wa Ofisi za walimu inaendelea katika Shule mbalimbali jijini Dar es Salaam.

Matangazo

  • RC Makonda Kuupokea Mwenge wa Uhuru Julai 19 Ukitokea Mjini Magharibi July 18, 2019
  • Rais wa Kongo Kutua Nchini tarehe 13/06/2019 kwa Ziara ya Kikazi na Kupokelewa na Mwenyeji wake Rais Dkt.John Magufuli June 12, 2019
  • Kikao cha Mapendekezo ya Kuboresha Ukusanyaji wa Maduhuli na Makusanyo ya Kodi Mkoa wa Dar es Salaam May 16, 2019
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam anawatangazia wananchi wenye Matatizo ya macho kufika kwenye kambi ya macho iliyopo Mtaa wa Hindragand Posta kila Jumamosi na Jumapili kwa kipindi cha Miezi Miwili kupatiwa vipimo,matibabu na miwani bure. October 05, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rais wa Afrika Kusini Kutua Nchini Jumatano na Kupokelewa na Rais Dkt John Pombe Magufuli

    August 12, 2019
  • RC Makonda Atoa Mwezi Mmoja kwa Manispaa ya Kinondoni Kuanza Ujenzi wa Fukwe za Coco

    August 09, 2019
  • RC Makonda Azidi Kutimiza Ahadi ya Ufadhili wa Matibabu ya Upasuaji wa Moyo 60 Kutoka Familia Duni

    July 25, 2019
  • RC Makonda Azindua Soko la Kimataifa la Madini na Vito Mkoa wa Dar es Salaam

    July 17, 2019
  • Tazama zote

Video

RC Makonda akiwasilisha utekelezaji wa Ilani ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa