• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Daraja la Kigogo, Mkwajuni na Jangwani

Posted on: June 27th, 2025

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es sSalaam Mhe Albert Chalamila amekukagua ujenzi wa daraja la Jangwani pamoja na ujenzi wa madaraja ya muda kwenye maeneo ya Kigogo na Mkwajuni yatakayotumiwa na wananchi kupisha ujenzi wa daraja la jangwani ambapo amewataka wakandarasi kukamilisha ujenzi huo kwa wakati na kwa kuzingatia thamani ya fedha

Akizungumza leo Juni 27,2028 Jijini Dar es salaam akiwe kwenye eneo la ujenzi wa daraja la Jangwani  RC Chalamila amesema ujenzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama cha Mapinduzi hivyo amemtaka mkandarasi kufanya ujenzi huo kwa kiwango bora na ujenzi ufanyike kwa saa  24 ili ukamilike kwa wakati.

RC Chalamila amesema kuwa eneo hilo la jangwani limekuwa ni changamoto kubwa kwa wananchi kila mvua zinaponyesha hivyo Rais Dkt Samia ametoa fedha za ujenzi huo na kwamba ujenzi wa daraja hilo utakua ndio suluhisho la adha hiyo na kusema kuwa hadi sasa serikali imeshampatia mkandarasi shilingi bilioni 14 kati ya shilingi bilioni 97 za kukamilisha mradi huo

Sanjari na hayo Mkuu wa Mkoa Albert Chalamila ametumia nafasi hiyo kumtaka Mkuu wa Wilaya ya Ilala na Meneja wa Tanroad Mkoa kuhakikisha uwanja wa mikutano eneo la jangwani unarejea ili uendelee kutumika kwenye shughuli za mikutano mbalimbali kama ilivyokuwa miaka iliyopita

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Saad Mtambule waliposhiriki ziara hiyo wamemshukuru Rais Dokta Samia kwa kutoa fedha za ujenzi daraja hilo la jangwani pamoja na ujenzi wa madaraja ya muda kwenye eneo la kigogo na Mkwajuni ambapo wamesisitiza ujenzi huo kufanyika kwa haraka ili kumaliza adha kwa wananchi

Nae Meneja wa Tanroad Mkoa wa Dar es salaam Lazerk Kyamba amesema ujenzi wa daraja la jangwani unatanguliwa na ujenzi wa madaraja ya muda eneo la kigogo na mkwajuni yatakayotumiwa na wananchi wakati wa ujenzi wa daraja la jangwani ambapo pia kutakua na barabara ya dharura eneo la jangwani ambapo daraja la jangwani litagharimu shilingi bilioni 97 na ujenzi utafanyika kwa miezi 24

Ifahamike kuwa ujenzi wa daraja la jangwani ambao maandalizi yake yamefikia asilimia 7 unatanguliwa na ujenzi wa madaraja ya muda eneo la kigogo na eneo la mkwajuni utakaofanyika kwa miezi kumi madaraja ambayo yatatumika kupisha ujenzi mkubwa wa daraja kubwa la jangwani ambapo barabara hizo zitafungwa

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Akagua Ujenzi wa Daraja la Kigogo, Mkwajuni na Jangwani

    June 27, 2025
  • RC Chalamila Atembelea na Kukagua Maandalizi ya Maonesho ya Sabasaba 2025

    June 26, 2025
  • RC Chalamila Afungua Kikao Kazi cha TANESCO na Wenyeviti wa Mitaa kutoka Wilaya ya Kinondoni na Ubungo

    June 24, 2025
  • Ukatili Kinara Migogoro inayohitaji Msaada wa Kisheria-Waziri Mkuu

    June 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa