• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

Ziara ya Naibu Waziri OWM-TAMISEMI MHE Reuben Kwagilwa Dar

Posted on: December 22nd, 2025

 

-Akutana na Mkuu wa Mkoa Mhe Albert Chalamila aanza ziara ya Siku 3 kuanzia leo Disemba 22, 2025.

Naibu Waziri OWM-TAMISEMI Mhe Reuben Kwagilwa ameanza ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya Barabara, Afya na Elimu katika Mkoa wa Dar es Salaam.

Katika ziara yake Mkoani humo alipata wasaa wa kukutana na Mkuu wa Mkoa Mhe Albert chalamila na kufanya mazungumzo ya faragha ofisini kwake Ilala Boma Jijini humo.

Baada ya Mazungumzo hayo akaanza ziara rasmi katika wilaya ya Ilala na Temeke, aikiwa Ilala ametembelea mradi ujenzi wa Shule ya Sekondari ya ghorofa Kutunda relini ambao kukamilika kwake kutagharimu zaidi ya bilioni 7 ambapo amepongeza mradi huo na kuagiza januari 2026 wanafunzi waanze kusoma shuleni hapo.

Vilevile akiwa katika mradi wa ujenzi wa barabara ya Kitunda-Kivule- Msongola ameonyesha kusikitishwa na kasi ya ujenzi huo licha ya kuwa tayari Serikali imeshatoa bilioni 4.7 ambapo hapohapo akamuelekeza Mkuu wa wilaya kwa mamlaka aliyonayo kumkamata mkandarasi anayejenga barabara hiyo akahojiwe aje na mpango wa kutekeleza mradi huo kwa haraka hakuna kuongezewa muda ila ni lazima ifikapo April 2026 barabara iwe imekamilika.

Sanjali na hilo akiwa Temeke amefurahishwa na ujenzi wa Shule ya msingi na Sekondari ya ghorofa Mwembe bamia Chamazi pia hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa barabara (Wailes)  ambapo amesema ujenzi huo uko nyuma zaidi ya asilimia 36 na mradi huo utagarimu bilioni 21hivyo ameagiza kukamatwa pia kwa mkandarasi kwa ajili ya mahojiano

"Lazima fedha zinazotolewa na Mhe.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye miradi zisimamiwe kwa weledi na uaminifu hatutakubali kuchezewa" Alisema Mhe.Reuben.

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Edward Mpogolo amemhakikishia naibu waziri wako tayari kuchapa kazi usiku na mchana kwa masilahi mapana ya Wanachi na ndiyo maono ya Mhe Rais Dkt Samia

Matangazo

  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 8-12 DESEMBA 2025 DSM December 08, 2025
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • MWENENDO WA BEI WIKI YA 1-5 DESEMBA 2025 December 01, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ziara ya Naibu Waziri OWM-TAMISEMI MHE Reuben Kwagilwa Dar

    December 22, 2025
  • RC Chalamila Vyombo vya Habari ni Muhimili Muhimu kwa Taifa

    December 05, 2025
  • RC Chalamila Azindua Wodi ya Watoto Wachanga Hospitali ya Amana

    December 03, 2025
  • Rais Dkt Samia Suluhu Akutana na Wazee wa Dar es Salaam

    December 02, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa