• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Mkoa wa Dar es Salaam Unaendelea Kufanya Vizuri

Posted on: December 30th, 2021

- Ampongeza *Rais Samia kwa kutoa pesa ambazo zimejenga vyumba vya Madarasa 743

- Awataka Watendaji na Viongozi DSM kuendelea kutoa ushirikiano na ofisi yake kama ilivyofanyika katika Kampeni ya kuwapanga vizuri wamachinga

-Apongeza Jeshi la polisi kwa kuendelea kusimamia Ulinzi na Usalama katika Mkoa

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Amos Makalla wakati anafungua *Kikao cha Bodi ya Ushauri ya Mkoa (DCC)* katika Ukumbi wa Mikutano Arnatoglo-Ilala Jijini Dar es Salaam.

RC Makalla amesema Mkoa umeendelea kutekeleza Mipango mbalimbali ya Serikali ikiwemo kutekeleza Mipango na bajeti ya Mkoa ya mwaka 2021/2022

Katika kutekeleza Mipango hiyo RC Makalla amesema Ofisi yake ilitoa maelekezo nane kwa Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa DSM miongoni mwa maelekezo hayo ni Ukusanyaji wa mapato, Usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo na Kusikiliza kero za wananchi

 Aidha RC Makalla amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan kwa busara yake ya kutafuta mkopo wenye mashariti nafuu, pesa ambazo akazigawa kwa uwazi nchi nzima ambapo DSM pekee yake imepata zaidi ya Bilioni 15 zote zimeelekezwa kujenga vyumba vya Madarasa 743 ambavyo kwa sehemu kubwa vinaenda kuondoa Changamoto za Upungufu wa Madarasa kwa Mkoa wa Dar es Salaam.

Mkuu wa Mkoa amewataka Watendaji na Viongozi DSM kuendelea kutoa ushirikiano ili Mkoa ufanye Vizuri zaidi kama ilivyofanyika katika Kampeni ya kuwapanga vizuri wamachinga, Safisha Pendezesha Dar es Salaam, kinacho hitajika sasa ni kuendeleza.

Pamoja na hayo RC Makalla amelipongeza Jeshi la polisi kwa kusimamia vema Ulinzi na Usalama katika Mkoa na amewahakikishia Wakazi wa Mkoa wa DSM kuwa ni Salaama wananchi wakasherekee vizuri Sikukuu ya mwaka mpya 2022.

Kwa upande wa mwenyekiti wa Chama Cha mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam Bi Kate Kamba amesema Mkoa wa DSM una kila sababu ya Kumshukuru Rais Mhe Samia Suluhu kwa Kutoa pesa zinazogharimia miradi mikubwa inayotekelezwa ikiwemo ya Barabara, Vyumba vya Madarasa na mingine mingi, ametoa RAI wananchi kuunga Mkono Juhudi zinazofanywa na Rais

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Rais wa Finland Alexander Stubb Atembelea Machinga Complex - DSM

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa