• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Makalla Awataka DART Kuheshimu Maamuzi ya Kamati ya Ulinzi na Usalama

Posted on: February 22nd, 2023

 

- Kamati iliona ni busara eneo kutumika kwaajili ya ujenzi wa kiwanda Cha Vioo kitakachotoa Ajira kwa zaidi ya Wananchi 6,000 kuliko kutumika kwaajili ya kulaza magari

- Awaelekeza kutafuta eneo lingine watakalolipa Wananchi fidia Ili kujenga Karakana hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam CPA. Amos Makalla amewaelekeza Wakala wa Mabasi ya Mwendokasi DART kuheshimu maamuzi ya kamati ya Ulinzi na usalama ya Mkoa iliyotaka wakala hao kutafuta eneo jingine  la kujenga Karakana ya mabasi ya Awamu ya tatu kutoka katikati ya mji kuelekea Gongolamboto na kuachia eneo lililokuwa limepangwa kutumika kwaajili ya ujenzi wa kiwanda Cha Vioo kitakachotoa Ajira kwa zaidi ya watu 6,000.

Hatua hiyo imekuja baada ya RC Makalla kutembelea mradi wa ujenzi wa Barabara ya BRT Awamu ya tatu ambapo ameshangazwa kuona Wakala hao wanaendelea Kung'ang'ania eneo Hilo licha ya kushiriki kwenye kikao Cha kamati ya Ulinzi na usalama na kuridhia maelekezo Ya kamati.

RC Makalla amesema kikao Cha kamati kiliona ni busara eneo kutumika kwaajili ya kiwanda kitakacholeta tija kwenye uwekezaji, Ajira na kuwezesha Serikali kupata mapato tofauti na kulaza magari.

Kutokana na Hilo RC Makalla amewaelekeza DART kushirikiana na Halmashauri ya Jiji hilo kutafuta eneo lingine watakalolipa Wananchi fidia Ili kujenga Karakana hiyo.

Pamoja na hayo RC Makalla amesema Tayari *Bank ya Dunia imeridhia kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa kiwanda hicho na tayari Mwekezaji amefanya Maandalizi ya awali eneo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiwasili NIDC-Kijitonyama

    May 15, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Charles Hilary

    May 13, 2025
  • Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa yakagua Miradi ya Maendeleo Wilaya ya Temeke

    May 07, 2025
  • RC Chalamila Aongoza Maadhimisho ya Mei-Mosi Dar es Salaam.

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa