• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC MAKALLA AAGIZA MRADI WA MAJI KIGAMBONI KUANZA KUINGIZA MAJI MJINI KUANZIA JUMANNE NOVEMBA MOSI

Posted on: October 28th, 2022

 

- Awasha pump kusukuma maji tanki la lita milioni 15

- Ameshukuru Rais samia kutoa fedha Bilioni 23 kukamilisha mradi lita milioni 70

- Aagiza kufikia Jumanne November 01 maji lita milioni 70 yafike mjini kupunguza mgao maji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo amewasha rasmi Pump ya kusukuma maji kutoka kwenye Visima vya Maji Kimbiji na Mpela kuelekea kwenye tank la kupokea na kusambaza maji Kigamboni na Katikati ya mji ambapo inatarajiwa kutoa huduma kwa Wananchi kuanzia Jumanne ya November 01.

Akizungumza wakati wa mwendelezo wa Ziara ya kukagua vyanzo vya Maji Kigamboni, RC Makalla amesema Mradi huo unakwenda kupunguza makali ya tatizo la mgao wa maji Kigamboni na katikati ya mji.

Aidha RC Makalla amesema visima hivyo vinazalisha Lita Milioni 450 kwa saa na maji yanayozalishwa yanapelekwa kwenye tank lenye uwezo wa kupokea Lita Milioni 15

Kutokana na uhitaji mkubwa wa maji uliopo, RC Makalla ameelekeza DAWASA kuhakikisha Mkandarasi anafanya kazi usiku na mchana ili ifikapo Jumanne Lita Milioni 70 ziwe zimefika kwa Wananchi.

Hata hivyo RC Makalla amesema tayari Serikali ya Rais Samia imefanikisha kupatikana kwa Mkandarasi wa Ujenzi wa Bwawa la Kidunda litakalokwenda kumaliza tatizo la mgao wa maji pindi mvua zitakapochelewa kunyesha na muda wowote kuanzia Sasa Serikali itasaini mkataba na Mkandarasi huyo.

Kwa upande wake Mtendaji Mkuu wa DAWASA Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema mpaka Sasa visima 7 Kati ya 12 vya Kimbiji na Mpela vimekamilika na vile ambavyo havijakamilika vipo hatua za mwisho.


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa