• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Mkoa  wa Dar es Salaam

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Muundo wa Kiutawala
  • Utawala
    • Seksheni
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Management,Monitoring and Inspection
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Elimu
      • Industry, Trade and Investiment
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • TEHAMA
      • Government Communication Unit
  • Wilaya
    • Ilala
    • Kinondoni
    • Temeke
    • Ubungo
    • Kigamboni
  • Halmashauri
    • Jiji
    • Kinondoni MC
    • Temeke MC
    • Ubungo MC
    • Kigamboni MC
  • Fursa za Uwekezaji
    • Muongozo wa Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Maji
    • Afya
    • Elimu
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu Mbalimbali
    • Taarifa Mbalimbali
    • Fomu ya Ahadi ya Uadilifu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
      • Bofya hapa
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba
    • Habari
    • Matukio

RC Chalamila Uandikishaji wa Daftari la Mpiga Kura Unaendelea Vizuri

Posted on: October 19th, 2024

-Ataka wale ambao hawajajiandisha hadi sasa kutumia vizuri siku chache zilizobaki kujiandikisha

-Atangaza kufanya ziara ya kimkakati usiku wa manane katika wilaya zote za Mkoa

-Asema Serikali inatarajia kusaini mkataba wa ujenzi wa daraja la Juu Jangwani.

-Atangaza tamasha kubwa la mapishi kwa kutumia nishati safi DSM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila amesema mwenendo wa uandikishaji daftari la mpiga kura katika Mkoa huo linaendelea vizuri Ikiwa leo ndio ukomo wa uongozi wa wenyeviti wa Serikali za mitaa Serikali katika Mkoa huo ambapo amewataka wananchi mkoani humo kutumia vyema muda mchache uliobaki kuweza kujiandikisha kwenye daftari la wakaazi ili kushiriki uchaguza wa kupata viongozi wapya wa Mitaa.

Akizungumza leo  Oktoba 19, 2024 jijini Dar es salaam na waandishi wa habari Mkuu wa Mkoa huo Mhe Albert Chalamila amesema zoezi hilo linakwenda vizuri huku akitoa rai kwa wale wote ambao bado hawajajiandikisha watumie muda uliobaki wa siku ya kesho kujiandikisha kabla zoezi halo halijafungwa

Aidha Chalamila ametumia nafasi hiyo kuzungumzia mchakato wa ujenzi wa wa bonde la msimbazi na daraja la jangwani ambapo amesema Oktoba 22, 2024 Serikali kupitia wizara ya TAMISEMI inatarajia kusaini mkataba wa ujenzi huo pamoja na ujenzi wa baraba zinazoambatana na mkataba huo

Hata hivyo Mkuu huyo wa Mkoa wa Dar es salaam katika kuhakikisha wananchi Mkoani humo wanapata huduma stahiki kutoka kwa watumishi wa umma kuanzia Oktoba 22,2024 anatarajia kuanza kufanya ziara nyakati za usiku kwenye maeneo mbalimbali ya huduma za umma ikiwemo hospitali na ujenzi wa barabara za mwendokasi ambazo ujenzi wake unapaswa kufanyika saa 24.

Sanjari na hayo Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila amewataka wananchi wa Mkoa huo na maeneo ya jirani kushiriki katika Tamasha la mapishi kwa kutumia nishati safi litakalofsnyika Novemba 02,2024 kwenye viwanja vya biafra kinondoni ikiwa ni katika kumuunga mkono Rais Dokta Samia kwenye kampeni yake ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA UTAMILIFU (MOCK) MKOA WA DARASA LA SABA - 2024 July 05, 2024
  • KARIBU MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI MHE HARRIS KAMALA March 29, 2023
  • KARIBU MWENGE WA UHURU 2023 May 24, 2023
  • Matokeo ya Mtihani wa Mock Mkoa Darasa la Saba - 2020 September 02, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Chalamila Ataka Machinga Kariakoo Kufungua Njia

    May 28, 2025
  • CHALAMILA SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI YA UUGUZI

    May 23, 2025
  • Mchengerwa: Maafisa Habari Hakikisheni Wanachi Wanapata Habari Sahihi

    May 23, 2025
  • RC Chalamila Akabidhi Magari Mapya Mawili (2)-DSM

    May 20, 2025
  • Tazama zote

Video

RC Chalamila Azindua Wiki ya Sheria DSM
Video zaidi

Kurasa za Karibu

  • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
  • Wilaya ya Ilala
  • Wilaya ya Kinondoni
  • Wilaya ya Temeke
  • Wilaya ya Ubungo
  • Wilaya ya Kigamboni

Tovuti Muhimu

  • Ofisi ya Rais-TAMISEMI
  • Ofis ya Rais-Utumishi
  • Wizara ya Elimu
  • Tovuti ya Serikali
  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

    Anuani ya Posta: S.L.P. 5429

    Simu ya mezani: +255 22 2203158

    Simu ya mkononi: +255 22 2203156

    Barua pepe: ras@dsm.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Haki Miliki © 2017 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,haki zote zimehifadhiwa